Welcome to our online store Portal

Template Information

Saturday, January 26, 2013

MTWARA HAKUKALIKI! NYUMBA YA HAWA GHASIA YACHOMWA MOTO, MWANDISHI WA CHANEL TEN AJERUHIWA. POLISI WA MTWARA WAZIDIWA. POLISI LINDI NA SONGEA WAENDA KUONGEZA NGUVU. SERIKALI IKO KIMYAA!!


Askari wa kutuliza ghasia wakijiandaa kuzuia vurugu zilizotokea Mtwara, leo kwa kile kilinachodaiwa ni mwendelezo wa vurugu za madai ya gesi.

 

Katika vurugu hizo, mwandishi wa habari wa Chanel Ten, amejeruhiwa kichwani na kukimbizwa hospitali kwa ajili ya kupatiwa matibabu, huku ikielezwa kuwa watu hao wamevamia Nyumba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia, na kuipiga mawe na kuvunjwa vioo na kuchomwa moto.
 
Aidha imeelezwa kua katika harakati hizo pia Mahakama ya Mwanzo imechomwa moto na kusababisha askari kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya watu hao na kulazimika Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ, kuingilia kati kutuliza ghasia hizo.
 

Related Product :

1 comment:

  1. Eee,Mungu tunakuomba uiponye inchi yetu ya Tanzania. Tupatie amani, utulivu, upendo na mshikamano. Amen

    ReplyDelete

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop