Welcome to our online store Portal

Template Information

Wednesday, May 28, 2014

WAIJUA SIMU YA KWANZA KWA UBORA DUNIANI? SASA IPO TANZANIA KWA BEI RAHISI

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Simu hii ni simu ya kwanza kwa ubora duniani na ni simu yenye kukurahisishia maisha yako ktk kila nyanja ambayo kwa sasa inapatikana Tanzania kwa Tsh 850,000/= tu. huwezi kuamini kua bei ni rahisi hivyo bali cha msingi ni kuangalia inauzwa na nani? ina ubora gani? Je ina warrant? hayo yote majibu yake ni azizi computer doctor, suluhisho la maswali unayojiuliza kuhusu simu hii. Bofya hapa kuona uhalisia wa tuyasemayo
View detail

Tuesday, May 20, 2014

PATA MAFUNZO YA FANI YAKO BURE NCHINI INDIA

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Civilian Training Programme
Indian Technical & Economic Cooperation (ITEC) & Special Commonwealth Assistance for
Africa Programme (SCAAP) 2014-2015.  Sponsored by Ministry of External Affairs Government of India New Delhi Read more View detail

Innovation Fund is now Open

http://azizicompdoc.blogspot.com/
The objective of the Innovation Fund is to fund implementation of innovative ideas, which when realized, will support emerging tech entrepreneurs and startups to grow and address specific social and economic needs that exist. The fund focuses on getting new products and services to demo, prototype or pilot phase Read more View detail

Saturday, May 17, 2014

UPINZANI WASHINDA UCHAGUZI INDIA


http://azizicompdoc.blogspot.com/
Narendra Modi akiwasalimia wafuasi wake
Mtu anayetarajiwa kushika wadhifa wa Waziri Mkuu nchini India Narendra Modi amepongezwa na umati mkubwa wa wafuasi wake mjini Delhi baada ya chama chake cha BJP kuibuka mshindi katika uchaguzi mkuu nchini humo.
Bwana Modi ambaye amepanda kutoka kuwa muuza chai hadi kuwa kiongozi wa watu billioni moja amekutana na viongozi wa juu wa chama chake cha BJP katika makao makuu ya chama hicho baada msafara wa maandamano ya kumpongeza kutoka uwanja wa ndege.
http://azizicompdoc.blogspot.com/
Wafuasi wa Narendra Modi
Maelfu ya raia waliokuwa wakipeperusha bendera za BJP na kuimba wimbo wa kumsifu walijipanga kando kando ya barabara aliyokuwa akipita kwa lengo la kumpongeza kwa ushindi.
Mapema hii leo, Waziri Mkuu anayemaliza muda wake, Manmohan Singh aliwasilisha barua yake ya kujizulu kwa rais Pranab Mukherjee.
Katika hotuba yake ya mwisho kwa njia ya televisheni Bwana Singh amesema India imekuwa nchi imara zaidi kuliko ilivyokuwa mionogo kadhaa iliyopita wakati alipoteuliwa kuwa Waziri Mkuu.
View detail

MALI MPYA KWA KURAHISISHA MAISHA YAKO

KINANA AFANYA KUFURU URAMBO


1. Kinana akihutibia maelfu ya wananchi kwenye Viwanja vya Mwananchi Squire mjini Urambo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya Wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mei 16, 2014 katika viwanja vya Mwananchi Squire mjini Urambo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi huku akijadiliana nao njia ya kuzitatua katika mkoa wa Tabora.
2. Kinana akihutubia mkutano wa hadhara
Maelfu ya wananchi wakimsikiliza Kinana kwenye mkutano huo.
3. Kinana akiinukliwa baada ya kutawazwa uchifu
Kinana akiinuliwa baada ya kusimikwa uchifu wa Wanyamwezi kabla ya kuhutubia mkutano huo.
3b. Kinana katika picha ya pamoja na waliomtawaza uchifu
Kinana akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa kijadi waliomtawaza kuwa chifu wa Wanyanyembe.
4. Nape akizungumza kwenye mkutano wa viwanja vya Mwananchi Squire
Kaibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisiitiza jambo akihutubia maelfu ya Wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Mei 16, 2014 katika viwanja vya Mwananchi Squire mjini Urambo, akiwa na Kinana katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi huku akijadiliana nao njia ya kuzitatua katika mkoa wa Tabora.
5. Sitta akihutubia mkutano wa hadhara Viwanja vya Mwananchi Squire
Mbunge wa Urambo Samwel Sitta akihutubia wananchi kwenye mkutano huo.
6. Kinana akimvisha kofia ya usalama, Katibu wa CCM kata ya Kondamoyo, Barakabraka wakati akimkabidhi pikipiki . Jumla ya pikipiki 16 zimetolewa na Sitta
Kinana akimvisha kofia ya usalama, Katibu wa CCM kata ya Kondamoyo, Barakabraka wakati akimkabidhi pikipiki . Jumla ya pikipiki 16 zimetolewa na Sitta na Mama Sitta
7. Katibu wa CCM tawi la Boma Village Fatuma Ulaya akipkabidhiwa baiskeli na Kinana
Katibu wa CCM tawi la Boma Village Fatuma Ulaya akikabidhiwa baiskeli na Kinana, ikiwa ni miongoni mwa basikeli 96 walizokabidhiwa Makatibu wa matawi kutoka kwa Samwel Sitta wakati wa mkutano huo.
7. Makatibu wa CCM wa matawi wakiwa na basikeli zao
Makatibu wakiwa na baaiskeli zao baada ya kukabidhiwa na Kinana kwenye mkutano huo.
8. Vijana kwenye lori kumuona Kinana
Vijana wakiwa wamedandia kwenye lori lililokuwa limeegeshwa ili wapate kumuona vizuri Kinana kwenye mkutano huo.
9. Kinana akizindua mradi wa Kina mama wa mashine ya kukamua alizeti, kijiji cha Itundu
Kinana akizindua mradi wa Kina mama wa mashine ya kukamua alizeti, kijiji cha Itundu wilayani Urambo akiwa katika ziara hiyo ya mkoa wa Tabora.
15. Kinana Sitaa wakishiriki ujenzi shule ya sekondari Uyumbi, Urambo
Kinana Sitaa wakishiriki ujenzi shule ya sekondari Uyumbi, Urambo.
9b. shamba darasa
Mnara uliopo kwenye shamba la kituo cha kilimo cha Umwagiliaji wa matone.
11. Kinana akiangalia mhindi kwenye shamba darasa la kilimo cha mwagiliaji kwa matone la Kapilula, Urambo
Kinana akiangalia mhindi kwenye shamba darasa la kilimo cha mwagiliaji kwa matone la Kapilula, Urambo.
12. Kinana akitazama mahindi yanavyopata maji kupitia matone, katika shamba darasa la Kapilula, Urambo
Kinana akitazama mahindi yanavyopata maji kupitia matone, katika shamba darasa la Kapilula, Urambo.
12b. Mama sitta akitazama mhindi katika shamba darasa la kilimo cha umwagiliaji kwa matone, Kapilula, Urambo
Mbunge wa Viti Maalum Mama Margareth Sitta akitazama mahindi yalivyozaa kwenye shamba hilo.
13. Kinana katika wodi ya wazazi ya Yuwilindila
Kinana katika wodi ya wazazi ya Yuwilindila.
14. Muuguzi Mkunga wa Zahanati ya Izenga, akimuonyesha Kinana hifadhi ya dawa
Muuguzi Mkunga wa Zahanati ya Izenga, Urambo mkoani Tabora, akimuonyesha Kinana hifadhi ya dawa.
15.c. Vijana wa Chipukizi wakimchezea paredi maalum Kinana wakati wa mapokezi eneo la Zimbili, Urambo
Vijana wa Chipukizi wakimchezea paredi maalum Kinana wakati wa mapokezi eneo la Zimbili, Urambo.
15b. Kinana akipita katika Vijana wa CCM wakati wa mapokezi eneo la Zimbili, Urambo
Kinana akipita katika Vijana wa CCM wakati wa mapokezi eneo la Zimbili, Urambo.
17. Nape akilakiana na Mama Sitta
 Kinana akilakiana kwa shangwe na Sitta wakati wa mapokezi yake katika kijiji cha Izimbili, Urambo.
18. Madiwani wa CUF wamlaki Kinana
Madiwani kwa tiketi ya CUF, Kandola Nyanda (Kata ya Nsenda) na Kadada Mohamed kutoka Kata ya Usoke ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Maji katika Halmashauri ya Urambo (Wapili kushoto), wakimsalimia kwa furaha Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, wakati wa mapokezi yake yaliyofanyika Kijiji cha Izimbili Kata ya Usoke, akiingia wilaya ya Urambo kuendelea na ziara yake ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi huku akijadiliana nao njia ya kuzitatua kero hizo mkoani Tabora.
21. Kinana na Nape wakisalimia baada ya kukagua Zahanati ya Izengabatogwile
Kinana na Nape wakisalimia baada ya kukagua Zahanati ya Izengabatogwile.
22. Kinana na Nape wakisalimia sungusungu
Kinana na Nape wakisalimia sungusungu wilayani Urambo mkoani Tabora baada ya sungusungu hao kupokea msafara wa Kinana.
View detail

KUMEKUCHA BUNGENI


PG4A9520
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Naibu wake, Pereira Sirima (kulia) wakipongezwa na Wabunge baada ya bunge kupitisha bajeti ya Wizara hiyo, bungeni mjini Dodoma May 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
PG4A9513
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William  Lukuvi, bungeni mjini Dodoma.
PG4A9525
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Makambako, Deo Sanga (kushoto) na Mbunge wa Viti Maaliam, Lediana Mng’ong’o bungeni mjini Dodoma.

View detail

Tuesday, May 6, 2014

PATA POCHI NA WALLET KWA BEI POUWAAA!!!

http://azizicompdoc.blogspot.com/

http://azizicompdoc.blogspot.com/

http://azizicompdoc.blogspot.com/

35,000/=
Call 0653 33 29 24

http://azizicompdoc.blogspot.com/

http://azizicompdoc.blogspot.com/
40,000/=
Call 0653 33 29 24


http://azizicompdoc.blogspot.com/
60,000/=
Call 0653 33 29 24

http://azizicompdoc.blogspot.com/

http://azizicompdoc.blogspot.com/

99,000/=
Call 0653 33 29 24
View detail

RIDHIWANI KIKWETE NA GODREY MGIMWA WALA KIAPO

PG4A8145
Mbunge wa Kalenga, Godfrey mgimwa akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni mjini Dodoma Mei 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
PG4A8185
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni Mjini Dodoma.
PG4A8195
PG4A8131
 Spika wa Bunge,Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakiimba wimbo waTaifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza.
PG4A8129
Mke   Rais,Mama Salma Kikwete akiwa Bungeni Mjini Dodoma May 6,2014 wakati mwanae,Ridhiwani Kikwete alipoapishwa. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dr. Rehema Nchimbi.
PG4A8214
 Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akiapa, Bungeni Mjini Dodoma.
PG4A8163
Mbunge wa Kalenga, Godfrey Mgimwa akiapa Buneni mjini Dodoma.
PG4A8228
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpongeza Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete baada ya kuapishwa, Bungeni Mjini Dodoma.
PG4A8233
Mh. William Lukuvi akipongeza Mh. Ridhiwani Kikwete.
View detail

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop