Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua
ukumbi mkubwa wa mikutano wa Julius Nyerere multi-purpose International
conference Hall uliopo mtaa wa Shaaban Robert jijini Dar es Salaam. Ukumbi huo
wa Serikali upo chini ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Ujenzi wa Ukumbi huo
uko katika hatua za mwisho na Rais Kikwete bali na kuridhishwa na hatua hiyo
ametoa maelekezo kwa wahandisi kutenga sehemu maalumu kwa Wapiga picha na waandishi
wa habari ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi.
Rais Kikwete pia
ameelekeza wahandisi kuweka viti na meza zinazohamishika ili kukidhi matakwa ya
mikutano na vikao vya aina mbalimbali.
Sehemu ya jukwaa kuu
Nafasi za wajumbe wa mikutano
Viti
Upande wa juu
0 comments:
Post a Comment