Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimjulia hali Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, ambaye pia ni Mhariri
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Absolom Kibanda,
aliyelazwa katika Wodi ya Moi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, baada
ya kujeruhiwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wakati
akiingia nyumbani kwake maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Kulia ni Mkurugenzi wa Gazeti la Mwana Halisi, Said Kubenea.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akimjulia hali Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, ambaye pia ni Mhariri
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Absolom Kibanda,
aliyelazwa katika Wodi ya Moi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, baada
ya kujeruhiwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wakati
akiingia nyumbani kwake maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Kulia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPP Regnard Mengi.
Mwenyekiti
wa Jukwaa la Wahariri, ambaye pia ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni
ya New Habari 2006 Ltd, Absolom Kibanda, akionekana jinsi
alivyojeruhiwa.
0 comments:
Post a Comment