Mkurgenzi
Mkuu wa Shirika la taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Ramadhani Dau
akifafanua jambo mbele ya wajumbwe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu
walipofanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa mradi wa daraja la
Kingamboni jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Ramadhan Dau (wa
pili kushoto) akiangalia maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kigamboni
wakati Kamati ya Bunge ya Miundombinu ilipotembelea mradi huo leo.
Kushoto ni Mhandisi wa NSSF, John Msemwa.
Mhandisi
wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), John Msemwa akitoa mada
wakati Kamati ya Bunge ya miundombinu ilipotembelea mradi wa ujenzi wa
daraja la Kigamboni..
Naibu Waziri wa
Ujenzi, Gerson Lwenge akizungumza wakati kamati hiyo ilipotembelea mradi wa Ujenzi
wa daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam leo.
Kamati ya Bunge ya Miundombinu ikiangalia maendeleo ya ujenzi wa daraja hilo.
Mafundi wakiwa kazini.
Mafundi kazini.
Mwenyekiti wa
Kamati ya Bunge ya Miundombinu, Peter Selukamba (kushoto) akiwa na Naibu Waziri
wa Ujenzi, Gerson Lwenge wakati kamati hiyo
ilipotembelea mradi wa Ujenzi wa daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Hapa moja ya za daraja la Kigamboni itawekwa hapa.
Mhandisi
wa Shirika la Taifa la
Hifadhi ya Jamii (NSSF), Karim Mattaka akifafanua jambo kwa wajumbe wa
Kamati ya Bunge ya Miundombinu walipotembelea kuangalia maendeleo ya
ujenzi wa mradi
wa daraja la Kigamboni. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Peter
Selukamba.
Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Juma Kintu akiwa na Ofisa wa Trafic, Peter.
Mhandisi
wa NSSF, John Msemwa akitoa ufafanuzi wa maendeleo ya ujenzi wa daraja
la Kigamboni kwa Mkufugenzi Mkuu wa NSSF, Ramadhan Dau (kulia)
Zege ikimiminwa katika moja ya nguzo za daraja hilo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, Peter
Selukamba (kushoto) akiwa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge wakati kamati
hiyo ilipotembelea mradi wa Ujenzi wa daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam leo.
asante kwa kutuhabarisha kazi nzuri sana
ReplyDelete