Margaret Thatcher afariki dunia
Margaret Thatcher
Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza, Margaret Thatcher ameaga dunia.
Thatcher alikuwa na umri wa miaka 87 na msemaji wake ameelezea kuwa alifariki kutokana na ugonjwa wa kiharusi
Thatcher alikuwa mwanamke wa kwanza waziri mkuu
wa Uingereza na anasemekana kuleta mageuzi makubwa kisiasa Uingereza
alipochukua mamlaka mwaka 1979.
Pia alisifika sana na kuwa mwanamke mwenye ushawishi mkubwa katika
Related Product :
Why Shop on Bongo Online?
We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be
0 comments:
Post a Comment