Welcome to our online store Portal

Template Information

Thursday, May 9, 2013

SHEKH PONDA AACHIWA HURU NA MAHAKAMA

Mahakama ya Kisutu leo hii imetoa hukumu ya Shekh Ponda kwa kumuhukumu kifungo cha nje cha mwaka mmoja (1) na kuwaachia huru wenzake 49, kutokana na hukumu hiyo kauli yake ya Allah ndio hakimu mkuu kuliko wote ameidhihirisha pale alipowaona wafuasi wake wakimlaki kwa furaha huku wakiendelea kupiga TAQBIR na kusema hakika Allah ndiye pekee wa kumuomba na kila uongo na Unafiki utajitenga na ukweli utajidhihirisha!!! wakati ukifika hakuna wakupinga! alimalizia kwa kusema ALLAH AQBAR!! 

Ulinzi mkali uliimarishwa ili kudhibiti hatua yoyote isiyo ya kawaida ktk kumlaki shekh Ponda ambae amekadiriwa kua na wafuasi takribani 10,000 kwa mkoa wa Dar es salaam pekee na wengine wakiwa mikoani, kutokana na hilo ulinzi ktk eneo la mahakama uliimarishwa na kua tayari kwa lolote litakalojitokeza kutokana na furaha za wafuasi hao wa Shekh Ponda.
Baadhi ya Umati wa wafuasi wa Shekh Ponda  mjini Dar es salaam


Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop