Welcome to our online store Portal

Template Information

Tuesday, June 18, 2013

MGOMO WA WALIMU KENYA WAANZA UPYA

Walimu wa shule za sekondari na taasisi za juu nchini Kenya


Walimu wa shule za sekondari na taasisi za juu nchini Kenya wameanza rasmi mgomo wao wa kitaifa hii leo baada ya kukosa kuafikia mwafaka na serikali kuhusu kutengewa pesa za kuwalipa marupurupu.
Mgomo huu unakuja baada ya kusomwa kwa bajeti ya serikali wiki jana. Walimu hao wanalalamika kuwa serikali imetenga mabilioni ya pesa kwa ununuzi wa vipakatilishi kwa wanafunzi wa darasa la kwanza badala ya kutumia pesa kwa miradi mingine ambayo ni muhimu zaidi katika sekta ya elimu.
Walimu hao wanasema wataendelea na mgomo wao hadi serikali itakapokubali kuwatimizia matakwa yao.
Pamoja na hilo chama cha walimu hao, kimewataka wanchama wake kusalia nyumbani na kutofunza na badala yake kufika katika makao makuu ya chama cha walimu kwa maagizo zaidi kuhusu hatua wakatazochukua.
Walimu hao wanataka wapewe marupuru ya safari zao pamoja na majukumu ya usimamizi wa shule kuwa sawa na yale wanayolipwa wafanyakazi wengine wa umma.
Pia wanataka swala la kupandishwa vyeo kupewa kipaombele.
Dina gahamanyi alitembelea baadhi ya shule kujionea hali ilivyokuwa.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop