Welcome to our online store Portal

Template Information

Tuesday, September 10, 2013

MAKAMU WA RAISI KENYA ATUHUMIWA ALIMILIKI JESHI LA KIVITA

Bwana Ruto na wafuasi wake alipokuwa anaondoka Kenya kuelekea Hague
Naibu rais wa Kenya William Ruto amekana mashitaka ya uhalifu katika kesi inayoendeshwa kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC , Hague Uholanzi.
Bwana Ruto -- ambaye anatuhumiwa kupanga ghasia za baada ya uchaguzi uliokuwa na utata wa mwaka 2007 -- amekana mashtaka hayo sawa na mshitakiwa mwenza katika kesi hiyo mtangazaji Joshua Arap Sang.
Mwendesha mkuu wa mashtaka katika ICC, Fatou Bensouda, alimtaja Ruto kuwa mwanasiasa shupavu ambaye alipanga kufanya uhalifu dhidi ya binadamu ili kujinufaisha kisiasa.
Amesema kuwa kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007, Ruto aliunda jeshi lake la kivita kumpigania dhidi ya mahasimu wake madai ambayo yamekanushwa na wakili wa Ruto bwana Khan
Bwana Ruto na Rais Uhuru Kenyatta pamoja na mwandishi wa habari Joshua Arap Sang, wanatuhumiwa kwa kuhusika na ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2007, kufanya mauaji kuchochea na kupanga ghasia hizo.
Rais Uhuru Kenyatta ambaye pia anatuhumiwa kwa uhalifu dhidi ya binadamu, anatarajiwa kufikia katika mahakama hiyo mwezi Novemba

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop