Welcome to our online store Portal

Template Information

Saturday, September 21, 2013

MULLAH AACHIWA HURU PAKISTAN

Afghanistan yafurahi Taliban afunguliwa



Wakuu wa Pakistan wanasema wamemuachilia huru mfungwa mwenye cheo katika kundi la Taliban - Mullah Abdul Ghani Baradar - ili kurahisisha juhudi za mapatano nchini Afghanistan.
Serikali ya Afghanistan imekaribisha habari hizo na inamuona Mullah Baradar kuwa mmoja kati ya maafisa waandamizi walio tayari kuzungumza.
Afisa mmoja wa Afghanistan alimuelezea Mullah Baradar - naibu kiongozi wa zamani wa Taliban - kuwa mjumbe wa amani.
Hata hivyo, waandishi wa habari wanasema haijulikani Mullah Baradar ana kauli gani bado katika kundi hilo la wapiganaji.
Alikamatwa mjini Karachi, Pakistan, mwaka wa 2010.


Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop