Welcome to our online store Portal

Template Information

Friday, October 18, 2013

MENO YA TEMBO TANI MBILI YAKAMATWA

Shehena ya meno ya tembo yanaswa Uganda

Maafisa nchini Uganda wamekamata shehena meno ya tembo yenye uzito wa tani mbili, ambacho ni kiwango kikubwa kukamatwa kwa miaka mingi iliyopita.
Chama cha Wanyama Pori nchini Uganda kimesema meno yapatayo 832 yenye thamani ya dola milioni 6.7 yamekamatwa.
Wataalamu wanasema baadhi ya meno hayo yanaaminika yametokana na tembo waliouawa na majangili nje ya nchi ya Uganda.
Kuna mahitaji ya meno ya tembo kutoka barani Afrika kwenda nchi Asia kwa ajili ya kutengeneza mapambo.
Meno hayo ya tembo yalikuwa yakielekea kwenda kusafirishwa katika bandari ya Mombasa nchini Kenya.
Baadhi ya meno hayo yalikuwa yamekatwa vipande vipande na kufunikwa na chupa za plastiki kwenye makreti na kubandikwa maandishi kuonyesha kwamba ni bidhaa zinazokwenda kuchakatwa (recycling).
Chama hicho cha Wanyama pori kimemwambia mwandishi wa habari wa azizicompdoc.blogspot.com kuwa Uganda imeanza kutumiwa na majangili kama njia ya kupitisha bidhaa za wanyamapori kutoka nchi za Sudan Kusini na Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop