Katibu
Mkuu wa CCM ndugu Abdulrahman Kinana akishuka kwenye meli ya MV.Songea
cha Liuli na kuwasalimu wananchi kabla ya kuendelea na safari ya
kuelekea Kyela akitokea Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa kijiji cha
Mkini wakati wa safari yake kwa kutumia ziwa Nyasa kuelekea Kyela
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu ABdulrahman Kinana akicheza ngoma ya Mganda
akishirikiana na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa
Dk.Asha-Rose Migiro ,Katibu Wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Katibu
wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa akihutubia wakazi wa kijiji cha
Mkini kabla ya kuendelea na safari ya kuelekea Kyela.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongea na muzaji wa samaki
pamoja na mihogo ya kuchemsha kwenye bandari ya Lupingu mnamo saa saba
na nusu ya usiku katikati ni Dk.Asha-Rose Migiro.
Nahodha
Mkuu wa Meli ya MV Songea Ndugu Thomas Samuel Faya akitoa maelekezo
namna ya kuiongoza meli kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman
Kinana,Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro
pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishuka toka kwenye meli baada ya
kuwasili salama kwenye bandari ya Kyela na kupokelewa na viongozi mbali
mbali wa Siasa na Serikali.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa kwa furaha na wakazi wa Kyela.
Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro akiwasalimu wakazi wa Kyela waliojitokeza kuja kuwapokea.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa na viongozi wa Chama na
Serikali kwenye bandari ya Itungi ambayo muda si mrefu itatengenezwa na
kuanza kutumika.
0 comments:
Post a Comment