Welcome to our online store Portal

Template Information

Monday, February 24, 2014

SUALA LA POSHO BUNGE LA KATIBA LACHUKUA SURA MPYA

 ONGEZEKO LA POSHO LIMEKWAMA;Binafsi namshukuru sana mungu!Taarifa rasmi ambazo nimezithibitisha kutoka katika vyanzo muhimu na vya kuaminika vya bunge, serikali na wadau wengine zinathibitisha kuwa ishu ya ongezeko la posho imekwama na KUFA KIFO CHA MENDE.Hii ina maanisha kwamba wajumbe wa bunge maalum la katiba watalipwa shs 300,000 tu kwa siku kama ilivyokuwa hapo awali.Narudia tena kwamba jambo hili limekwama na halitakuwepo.Leo saa 2.00 asubuhi nilipanga kuanzisha zoezi la kukusanya SAINI za wajumbe wote wanaopinga ongezeko la posho, ni kazi ambayo ingenigharimu siku tatu kuisimamia.Natangaza rasmi kusitisha zoezi la kukusanya saini kwa sababu ULAFI huu wa posho uliopendekezwa na baadhi ya wabunge wa CCM umekatishwa kwa maslahi ya umma.Nawaomba watanzania wote kuelekeza mijadala yetu kwenye rasimu ya katiba na tuondoke kwenye suala la posho ambalo limefika mwisho.Nataraji leo, Mwenyekiti wa muda wa bunge maalum atathibitisha kuwa hakuna ongezeko la posho.Nawashukuru sana Wabunge na Wawakilishi wa Chama cha Wananchi CUF ambao walinitia moyo na kuchangia gharama za mabango maalum yenye picha za kuonesha mateso ya kina mama wanapojifungua, na lile la kuonesha watoto wa shule walivyokaa juu ya mavumbi(ambayo yangetumika katika zoezi hili).Namshukuru sana Prof. Ibrahim Lipumba na Zitto Kabwe kwa kuniunga mkono katikati ya jambo hili. Nawashukuru baadhi ya wajumbe wa bunge la katiba ambao walikuwa tayari kusaini PETITION leo hii na waliopinga ULAFI huu.Mungu ibariki Tanzania.
Taarifa rasmi ambazo nimezithibitisha kutoka katika vyanzo muhimu na vya kuaminika vya bunge, serikali na wadau wengine zinathibitisha kuwa ishu ya ongezeko la posho imekwama na KUFA KIFO CHA MENDE.
Hii ina maanisha kwamba wajumbe wa bunge maalum la katiba watalipwa shs 300,000 tu kwa siku kama ilivyokuwa hapo awali.
Narudia tena kwamba jambo hili limekwama na halitakuwepo.

Leo saa 2.00 asubuhi nilipanga kuanzisha zoezi la kukusanya SAINI za wajumbe wote wanaopinga ongezeko la posho, ni kazi ambayo ingenigharimu siku tatu kuisimamia.
Natangaza rasmi kusitisha zoezi la kukusanya saini kwa sababu ULAFI huu wa posho uliopendekezwa na baadhi ya wabunge wa CCM umekatishwa kwa maslahi ya umma.
Nawaomba watanzania wote kuelekeza mijadala yetu kwenye rasimu ya katiba na tuondoke kwenye suala la posho ambalo limefika mwisho.

Nataraji leo, Mwenyekiti wa muda wa bunge maalum atathibitisha kuwa hakuna ongezeko la posho.
Nawashukuru sana Wabunge na Wawakilishi wa Chama cha Wananchi CUF ambao walinitia moyo na kuchangia gharama za mabango maalum yenye picha za kuonesha mateso ya kina mama wanapojifungua, na lile la kuonesha watoto wa shule walivyokaa juu ya mavumbi(ambayo yangetumika katika zoezi hili).
Namshukuru sana Prof. Ibrahim Lipumba na Zitto Kabwe kwa kuniunga mkono katikati ya jambo hili. Nawashukuru baadhi ya wajumbe wa bunge la katiba ambao walikuwa tayari kusaini PETITION leo hii na waliopinga ULAFI huu.
Mungu ibariki Tanzania.



Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop