Welcome to our online store Portal

Template Information

Thursday, July 31, 2014

Bill & Melinda Gates Foundation Grant Opportunity of $5,500,000


http://azizicompdoc.blogspot.com/
The Bill and Melinda Gates Foundation along with the UK Department of International Development (DFID) call Concept Memo from organizations willing to design and manage small grants program to conduct research on the drivers of food choice among poor people in developing countries.
The grant recipient will design and competitively tender a research call and award and manage up to 15 small research grants to the sub-grant recipients.
For more information Follow the Link View detail

Monday, July 28, 2014

NCHI GANI INASWALI EIDY J3 TAR 28/07/2014? PATA TAARIFA ZOTE HAPA

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Kutokana na wengi kutokua na elimu ya mwezi ili waweze kufanya maamuzi, mwandishi wetu ameamua kuleta darasa hili kwa wasomaji wetu ili iweze kuwasaidia wenye kujifunza na kua msaada kwao, kumbuka lengo letu ni kuwaelimisha wasomaji wetu Bofya hapa kwa maelezo zaidi View detail

Sunday, July 20, 2014

TAPELI MKUBWA AKAMATWA JIJINI DAR


10500539_819006161445574_7780628803053090260_n

Tapeli lililokubuhu kwa masuala ya kulaghai watu kwa njia ya kujifanya kishoka washirika la Umeme Nchini, Tanesco, jana asubuhi limedakwa baada ya kuwekewa mtego walipokuwa wakitaka kutapeli kwa mmoja wa Afisa wa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma- Ledama.

Kwa mujibu wa Bi. Usia akieleza tukio hilo, alidai kuwa  tapeli huyo alifika asubuhi  akiwa na wenzake sita,  nyumbani kwake  wakasema wanatoka Tanesco wamekuja kucheki mita ya Luku. Hata hivyo  wakakorokocha wakasema mita imechezewa kwa hiyo wanakata Umeme na kung’oa mita, eti waliona kwenye GPS  yao kuwaUmeme hauendi vema.

“wakasema fidia na kurudisha umeme kiofisi ni milioni 8! ila tukiwapa milioni 2 wataturudishia. nikawauliza kama mita imechezewa mbona tunanunua umemewa laki 3 kwamwezi? si ingepaswa tulipe kidogo? wakasema wakati mwingine wakiweka hiyo resistance (eti ndo kifaa cha kuiba Umeme) huwa kinafyatuka halafu  Umeme unakwenda zaidi! “ alielezea Bi. Usia.

Na kuongeza kuwa  vishoka hao wakakata Umeme wakaondoka, tujipange. tujadiliana na mzee tukapata mashaka maana walikuwa wakali halafu wanalazimisha mambo, wamevaa vitambulisho lakini wamevigeuza kwahiyo havisomeki. tukapiga simu Tanesco kuwauliza wakasema hao ni vishoka tuite Polisi,  basi tukawapigia simu waje wachukue laki tano waturudishie Umeme, mengine Jumatatu. wakaja fasta wakarudisha Umeme,  nikawaambia naenda aTM wasubiri nikawaacha na mzee nikatoka mbio mpaka Polisi chuo nikawahadithia wakanipa Polisi 3 nikaja nao nyumbani, tukawakuta wameondoka.

Mzee akawapigia simu waje hela imepatikana wakasema tukutane Mlimani City, tukafanikiwa kukamata mmoja wengine wakakimbia. tumemuacha selo, tukaandikisha maelezo. tunasubiri hatua itakayofuata.
10417599_819006198112237_2101442257557265538_n

View detail

MAJINA YA WANAOITWA KAZINI AJIRA ZA SERIKALI

SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA
UMMA
Kumb. Na. EA.7/96/01/G/35 01 Julai, 2014
KUITWA KAZINI
http://azizicompdoc.blogspot.com/

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwataarifu
waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 04
hadi 12 Juni, 2014 kuwa walioorodheshwa katika tangazo hili wamefaulu
usaili na wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri kama ilivyoonyeshwa katika
tangazo hili. Bofya hapa kuendelea kusoma
View detail

Thursday, July 3, 2014

OFA MAALUM YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI KWA VIFAA VYA TEKNOLOJIA

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Kutokana na mahitaji makubwa ya vifaa vya teknolojia nchini, Azizi Matelephone and Electronics imekuletea vifaa vipya na kwa bei nafuu kwa ofa maalumu kwa mwezi mtukufu wa ramadhani, kuona vifaa unavyoweza kuvipata Bofya hapa View detail

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop