Welcome to our online store Portal

Template Information

Monday, December 31, 2012

Kanisa lashambuliwa na watu 2 kuuawa



Viongozi wa Kanisa la Coptic

Raia wawili wa Misri wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa, kwenye shambulio liliotekelezwa dhidi ya kanisa moja la Coptic mjini Misrata.
Afisa mmoja wa baraza la mji huo ameiambia azizicompdoc.blogspot.com kuwa kumetokea mlipuko ndani ya jengo la kanisa hilo wakati wanne hao walipokuwa wakila chakula chao cha mchana.
Haijulikani ni nani aliyefanya shambulio hilo mjin Dafiniyah, viungani wa Misrata.
Hata hivyo kuna habari za kutatanisha kuhusu ni lini shambulio hilo lilitokea.
Afisa huyo asema kanisa hilo lilishambuliwa kwa bomu la kujitengenezea, kwa kuwa baruti zinazotumika kwa uvuvi zilipatikana katika eneo hilo
Shirika la habari la serikali limesema kuwa, serikali ya nchi hiyo imeagiza maafisa zaidi wa polisi kutumwa katika kanisa hilo.

Serikali ya Misri imeagiza uchunguzi

Waziri wa mambo ya nje wa Misri, Mohammed Kamel Amr, amesema, serikali imeagiza uchunguzi kufuatia tukio hilo na kusema waliohusika watachukuliwa hatua kali za kisheria.


Majengo yaliyoharibiwa wakati wa machafuko ya kisiasa mjini Misrata

Kanisa hilo lililoka katika eneo la Dafiniyah, nje kidogo ya mji wa Misrata, hutumiwa na raia wengi wa Misri.
Kuna idadi ndogo sana ya wakristu nchini Libya, wengi wao wakiwa raia wa kigeni.
Baadhi yao wahamiaji kutoka Misri ambako waumini wa kanisa la Coptic ndilo dhehebu kubwa zaidi la Kikristo.
Serikali ya Libya imekuwa ikikabiliana na matatizo wa kuhakikisha usalama tangu kuondolewa madarakani wa kiongozi wa zamani wa nchi hiyo Muammar Gaddafi mwaka uliopita.
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na mashambulio ya kigaidi dhidi ya majengo ya kibalozi na yale ya mashirika ya kutoa misaada na mwezi Septemba mwaka huu, Ubalozi wa Marekani, mjini Benghazi ulishambuliwa na balozi wa Marekani na maafisa wengine waliuawa.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop