Welcome to our online store Portal

Template Information

Monday, December 31, 2012

Waasi wa CAR wakataa pendekezo la rais Bozize


Rais wa CAR akiwahutubia wanainchi mjini Bangui

Waasi nchini Jamuhuri ya Afrika ya Kati, wamekaribia mji mkuu wa nchini Bangui na wamepuuzilia mbali, tangazo la rais wa nchini hiyo Francois Bozize, siku ya Jumapili, kuanzisha mazungumzo ya amani na viongozi wao.
Msemaji wa waasi wa Eric Massi, ameiambia azizicompdoc.blogspot.com kuwa, ni vigumu sana kwao kumuamini rais Bozize, kwa sababu wanajeshi wake wanaendelea na harakati za kuwashambulia wapiganaji wao mjini Bangui.
Amesema, ikiwa jeshi la kutunza amani la Muungano wa Afrika , halitatumwa mjini Bangui, waasi hao wataingia na kutoa ulinzi wa wafuasi wao.
Lakini serikali ya nchi hiyo imekanusha madai hayo, ya kuwafanya mashambulio dhidi ya wafuasi wa waasi hao.
Siku ya Jumapili, rais Bozizi alitangaza kuwa yuko tayari kuunda serikali ya muungano wa kitaifa na waasi hao na kuwa hatawania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2016.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop