Welcome to our online store Portal

Template Information

Wednesday, December 12, 2012

Mali yapata Waziri Mkuu mpya

 Waziri mkuu wa zamani wa Mali Cheick Modibo Diarra
Mataifa mbalimbali duniani yameghadhabishwa na jeshi la Mali kwa kumkamata na kumlazimisha waziri Mkuu wa nchi hiyo Cheick Modibo Diarra kujiuzulu.
Marekani imesema kukamtwa kwa bwana Cheick Modibo Diarra ni pigo kwa utawala wa kidemokrasi nchini Mali.
Kadhalika Umoja wa Mataifa umeitishia kuiwekea Mali vikwazo nayo serikali ya Ufaransa iimesema kuwa panahitajika jeshi ambalo litakaloleta uthabiti katika taifa hilo.
Rais wa Mali sasa amemteua Django Sissoko kuwa waziri Mku mpya.
Tofauti na Jeshi, Bwana Diarra alikuwa amependekeza kuhusisha jeshi la Afrika Magharibi ili kukabiliana na wapiganaji wa kiislamu wanaodhibiti sehemu ya kaskazini.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop