Welcome to our online store Portal

Template Information

Monday, December 24, 2012

Mamlaka ya Puntland yawakomboa mateka


Haramia wa Kisomali 
Wakuu wa jimbo la Somalia lililojitenga, Puntland, wanasema wameweza kuwakomboa mahabusu zaidi ya 20, waliotekwa na maharamia karibu miaka mitatu iliyopita.
Wanasema kuwa askari wanaolinda mwambao wa Puntland pia wameikomboa meli ya MV Iceberg One iliyosajiliwa Panama, na kwamba hawakuhitaji kutumia nguvu.
Ni jambo la nadra kwa askari wa Somalia kujaribu kukomboa meli kutoka kwa maharamia.
Meli hiyo ilitekwa na maharamia nje ya Yemen mwaka wa 2009.
Wakuu wa Puntland wanasema mahabusu walionekana waliteswa. Wengi wao ni wagonjwa, ambapo haishangazi kwa sababu wamekuwa kizuizini tangu mwezi Marchi, 2010.
Kikosi cha wanamaji wa Puntland kimeizingira meli hiyo kwa karibu majuma mawili.
Pia waliwauwa maharamia kadha waliowagundua kwenye mashua wakipeleka silaha na chakula katika meli hiyo iliyotekwa nyara.
Mashambulio ya maharamia nje ya pwani ya Somalia yamepungua katika miaka miwili iliyopita, kwa sababu meli zinazopita huko zimezidisha ulinzi, na ushirikiano baina ya mataifa yanayopiga doria katika eneo hilo.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop