Welcome to our online store Portal

Template Information

Friday, December 14, 2012

KOFFI OLOMIDE AWASILI DAR KUWARUSHA MASHABIKI WA SEBENE JUMAMOSI LEADERS CLUB


Mwanamuziki nyota wa muziki wa dansi kutoka DRC-Kongo, Koffi Olomide, akipunga mkono kusalimia baadhi ya mashabiki wake waliofika kumlaki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jana usiku  wakati akiwasili pamoja na kundi lake zima la Quartier Latin,kwa ajili ya onesho lake litakalofanyika kesho siku ya jumamosi ndani ya viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar na jumapili jijini Mwanza ndani ya uwanja wa CCM-Kirumba. Onesho hilo limedhaminiwa na kampuni ya bia ya Afrika Masharikia (EABL) kupitia kinywaji chake cha Tusker na kiingilio katika shoo hiyo kitakuwa ni sh. 10,000/= kwa mtu mmoja na kwa wale watakaokatia tiketi mlangoni watalipia sh. 15,000/= getini. Pichani kushoto ni Mwenyeji wake kutoka kampuni ya Prime Time Promotions Ltd,Godfrey Kusaga


  Baadhi ya wanamuziki wa Koffi Olomide wakishuka kwenye gari kwenye viunga vya hoteli ya Serena usiku wa kuamkia leo .


Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop