Welcome to our online store Portal

Template Information

Thursday, December 20, 2012

Raia wa Sudan akatwa kichwa Saudi Arabia

Mji wa Mecca
Mji wa Mecca nchini Saudi Arabia

Wizara ya mambo ya ndani nchini Saudi Arabia, imesema kuwa raia mmoja wa Sudan amenyongwa kwa kukatwa kichwa.
Kwa mujibu wa tangazo kutoka kwa wizara hiyo, iliyochapishwa na shirika la habari la serikali, Othman Mohammed alinyongwa katika mji wa Magharibi wa Mecca.
Mohammed alipatikana na hatia ya kumuua raia mwingine kutoka Sudan, Salah Ahmed kwa kumpiga vibaya kichwani.
Chini ya sheria kali katika Ufalme huo wa Kiarabu, adhabu ya kifo hutolewa kwa makosa kadhaa, yakiwemo mauaji, ubakaji na ulanguzi wa madawa ya kulevya.
Shirika la kutetea haki za kibinadam la Amnesty International limesema kuwa watu 89 walinyongwa nchini Saudi Arabia mwaka uliopita pekee.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop