Welcome to our online store Portal

Template Information

Thursday, January 24, 2013

KINONDONI WAPATIWA VIFAA VYA KUTUNZIA TAKA


002
Meneja Mikopo wa BankABC, Eugenia Shayo akikabidhi sehemu ya vifaa 100 vya kubebea taka kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda vyenye thamani ya sh milioni 3.5.

003
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akizungumza na waandishi wa habari, mara baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo.
Manispaa ya Kinondoni imekabidhiwa vifaa 100 vya kutunzia taka na benki ya BankABC vyenye thamani ya shilingi milioni 3.5 leo Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupokea vifaa hivyo, Meya wa Manispaa hiyo, Yusuph Mwenda amesema Manispaa yake itahakikisha usafi unazingatiwa na mkazi atakayebainika kutupa taka ovyo atachukuliwa hatua kali ikiwemo kumtoza faini ya kuanzia shilingi 50,000 mpaka 10,000 “Hii ni kampeni maalumu

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop