Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania (OUT) chanunua eneo Mtwara na chaanza ujenzi mara moja ili kuhakikisha kinaendana na kasi ya maendeleo kwa mikoa ya kusini na kuhakikisha watu wa maeneo hayo wanapata huduma hiyo kwa ukaribu na kwa hadhi inayostahili kama watanzania wengine.
Makamu mkuu wa chuo Hicho Prof Tolly Salvatory A. Mbwete amesema atahakikisha ujenzi huo unakamilika mara moja ili alete matumaini makubwa kwa wanamtwara na watanzania kwa ujumla na kuhakikisha kua elimu ya vyuo vikuu inakua ni haki kwa kila mtanzania mwenye sifa bila kuhangaika ktk kuipata elimu hiyo
Kwa kuhakikisha hayo kweli yanawezekana, Prof Mbwete amekwenda mwenyewe ktk eneo la ujenzi na kuhakikisha ujenzi unakwenda kwa kasi anayoitaka, jambo hilo limekua rahisi kwake kwa kua yeye ni mtaalamu aliyebobea ktk fani hiyo na kuhakikisha mambo yote yanakwenda bila wasiwasi.
Makamu mkuu wa chuo Hicho Prof Tolly Salvatory A. Mbwete amesema atahakikisha ujenzi huo unakamilika mara moja ili alete matumaini makubwa kwa wanamtwara na watanzania kwa ujumla na kuhakikisha kua elimu ya vyuo vikuu inakua ni haki kwa kila mtanzania mwenye sifa bila kuhangaika ktk kuipata elimu hiyo
Kwa kuhakikisha hayo kweli yanawezekana, Prof Mbwete amekwenda mwenyewe ktk eneo la ujenzi na kuhakikisha ujenzi unakwenda kwa kasi anayoitaka, jambo hilo limekua rahisi kwake kwa kua yeye ni mtaalamu aliyebobea ktk fani hiyo na kuhakikisha mambo yote yanakwenda bila wasiwasi.
kweli wewe ni doctor wa compyuter.kazi kwetu
ReplyDelete