Welcome to our online store Portal

Template Information

Sunday, February 17, 2013

UN yawaonya wakenya wasifanye ghasia


Ghasia za Kenya za mwaka wa 2008

Jumuia ya kimataifa itaingilia kati nchini Kenya iwapo ghasia zitazuka kabla au baada ya uchaguzi mkuu wa tarehe 4 March, endapo serikali haiwezi kudhibti hali.
Gazeti la Kenya la The East African limemnukuu mshauri maalumu wa Umoja wa Mataifa wa kuzuwia mauaji ya kimbari, Adama Dieng, akisema mjini Nairobi kwamba ni wajibu wa serikali ya Kenya kuhakikisha usalama wa wananchi wake kwa kuzuwia ghasia.
Bwana Dieng alisema baada ya ghasia za miaka ya '90 na baada ya uchaguzi mwaka wa 2008, jumuia ya kimataifa itafanya iwezalo kuzuwia hayo yasitokee tena.
Mjumbe huyo wa Umoja wa Mataifa alisema wanaweza kuingilia kati kwa vikwazo na kuzidisha uwezo wa serikali kupambana na ghasia.
Hatua ya tatu ni kuingilia kijeshi.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop