UN yawaonya wakenya wasifanye ghasia
Jumuia ya kimataifa itaingilia
kati nchini Kenya iwapo ghasia zitazuka kabla au baada ya uchaguzi mkuu
wa tarehe 4 March, endapo serikali haiwezi kudhibti hali.
Gazeti la Kenya la The East
African limemnukuu mshauri maalumu wa Umoja wa Mataifa wa kuzuwia mauaji
ya kimbari, Adama Dieng, akisema mjini Nairobi kwamba ni wajibu wa
serikali ya Kenya kuhakikisha usalama wa wananchi wake kwa kuzuwia
ghasia.
Bwana Dieng alisema baada ya ghasia za miaka ya
'90 na baada ya uchaguzi mwaka wa 2008, jumuia ya kimataifa itafanya
iwezalo kuzuwia hayo yasitokee tena.
Mjumbe huyo wa Umoja wa Mataifa alisema wanaweza kuingilia kati kwa vikwazo na kuzidisha uwezo wa serikali kupambana na ghasia.
Hatua ya tatu ni kuingilia kijeshi.
Related Product :
Why Shop on Bongo Online?
We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be
0 comments:
Post a Comment