Mkuu wa wilaya ya lindi Dr Hamidi Nassoro wa kwanza kushoto
akiwa Waziri wa
Mambo ya nje Bernard Membe (wapili kushoto akikagua maendeleo ya
ujenzi wa
Kiwanda Cha Cement Mkoani Lindi leo, ambako Kiwanda hicho
kinajengwa
na kutarajiwa kutoa ajira kwa zaidi ya watu 600.
Akipewa maelekezo na
wasimamizi wa mradi huo na kampuni inayojenga
Waziri Membe Akiangalia vifaa
vitakavyotumika kwenye ujenzi.
Magari na vifaa mbalimbali vikiendelea
na kazi ya maandalizi ya
ujenziwa kiwanda.
Vifaa vya kutosha kwenye eneo hilo vinaonekana huku
kukiwa na vijana zaidi ya
280 wakiwa wamepata ajira za muda.
Baadhi ya vifaa kazi kwenye eneo hilo linalotarajiwa kuwa
kiwanda kikubwa
cha cement.
Takriban Wakazi 600 wa
Manispaa ya Lindi watanufaika na Ajira mara
utakapokamilika Ujenzi wa Kiwanda
cha Simenti kilichoanza hatua za awali za Ujenzi wake huku Tayari zaidi
watu 260 wakiwa wamepata ajira katika hatua
za awali baada ya kuanza kwa kazi hiyo hivi karibuni Akizungumza na Wakazi
wa Manispaa ya Lindi mara baada ya kukagua kazi za Ujenzi wa kiwanda hicho
kilichoanza ujenzi kufuatia Upatikanaji wa Gesikatika Mikoa ya Lindi na
Mtwara,
Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe alitoa wito kwa Wazazi na walezi kuongeza jitihada za kusomesha watoto wao ili wanufaikena ajira zitakazopatikana kutokana Uwepo wa Viwanda na shughuli mbalimbali zinazotokana na Gesi ikiwemo Upanuzi wa Bandari ya mji wa Lindi. Waziri Membe alitembelea kukagua kazi za ujenzi wa Kiwanda hichoMaeneo ya Machole Manispaa ya Lindi ambapo alielezwa kazi inavyoendelea na ajira zilizopo kwa sasa Sambamba na Gesi ya Mtwara,Waziri Membe alibainisha kuwa Kampuni ya Satoil ya Norway tayari imegundua uwepo wa Gesi nyingi umbali wa Km 85 baharini kutoka manispaa ya Lindi na kupatikana kwa gesi hiyo,Serikali tayari Imeshaingia mikataba ya Uchimbaji wake Gesi hiyo iliyogunduliwa na kampuni ya Satoil itasaidia maendeleo ya Lindi kwa kuwa kutajengwa kiwanda cha Mbolea,Kiwanda cha vifaa vya plastiki aina zote pamoja na Upatikanaji wa uhakika wa nishati ya Umeme alimalizia Membe kwa kusema Lindi Kucheleeeee!!!!
Awali akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake,Meneja Mradi wa Lindi Cement kiwanda ambacho kinajengwa na Kampuni ya Meis Industries,Bw Valerian Magembe alibainisha kuwa kazi ya Ujenzi wa kiwanda hicho itakamilika na kuanza Uzalishaji June 2014 ambapo zaidi ya wananchi 600 watanufaika na Ajira na kueleza kuwa kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kuzalisha tani 500 kwa siku Ndg Waandishi mipango yetu iko vema kama mnavyoona kazi inavyoendelea na tayari Maji na Umeme ndio tunakamilisha,,Wana Lindi wakae mkao wakula kwa kupata ajira na ongezeko la pato la kila mdau kwa sekta yake Na pia nawahakikishia kiwanda hiki ni cha kisasa na hakutokuwa na uharibifu wa Mazingira kutakuwa na mtambo wa kudhibiti Vumbi Tumejipanga vilivyo Alimalizia Bw Magembe Kazi za Ujenzi wa kiwanda hicho kinachomilikiwa na Kampuni ya Wazawa ya Meis Industries kinatarajiwa kuzalisha tani 500 kwa siku kitakapokamilika huku tayari ajira zaidi ya 280 zimetolewa kwa wakazi wa mji huo kwa awamu ya kwanza ya kazi za Ujenzi
Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Bernard Membe alitoa wito kwa Wazazi na walezi kuongeza jitihada za kusomesha watoto wao ili wanufaikena ajira zitakazopatikana kutokana Uwepo wa Viwanda na shughuli mbalimbali zinazotokana na Gesi ikiwemo Upanuzi wa Bandari ya mji wa Lindi. Waziri Membe alitembelea kukagua kazi za ujenzi wa Kiwanda hichoMaeneo ya Machole Manispaa ya Lindi ambapo alielezwa kazi inavyoendelea na ajira zilizopo kwa sasa Sambamba na Gesi ya Mtwara,Waziri Membe alibainisha kuwa Kampuni ya Satoil ya Norway tayari imegundua uwepo wa Gesi nyingi umbali wa Km 85 baharini kutoka manispaa ya Lindi na kupatikana kwa gesi hiyo,Serikali tayari Imeshaingia mikataba ya Uchimbaji wake Gesi hiyo iliyogunduliwa na kampuni ya Satoil itasaidia maendeleo ya Lindi kwa kuwa kutajengwa kiwanda cha Mbolea,Kiwanda cha vifaa vya plastiki aina zote pamoja na Upatikanaji wa uhakika wa nishati ya Umeme alimalizia Membe kwa kusema Lindi Kucheleeeee!!!!
Awali akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake,Meneja Mradi wa Lindi Cement kiwanda ambacho kinajengwa na Kampuni ya Meis Industries,Bw Valerian Magembe alibainisha kuwa kazi ya Ujenzi wa kiwanda hicho itakamilika na kuanza Uzalishaji June 2014 ambapo zaidi ya wananchi 600 watanufaika na Ajira na kueleza kuwa kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kuzalisha tani 500 kwa siku Ndg Waandishi mipango yetu iko vema kama mnavyoona kazi inavyoendelea na tayari Maji na Umeme ndio tunakamilisha,,Wana Lindi wakae mkao wakula kwa kupata ajira na ongezeko la pato la kila mdau kwa sekta yake Na pia nawahakikishia kiwanda hiki ni cha kisasa na hakutokuwa na uharibifu wa Mazingira kutakuwa na mtambo wa kudhibiti Vumbi Tumejipanga vilivyo Alimalizia Bw Magembe Kazi za Ujenzi wa kiwanda hicho kinachomilikiwa na Kampuni ya Wazawa ya Meis Industries kinatarajiwa kuzalisha tani 500 kwa siku kitakapokamilika huku tayari ajira zaidi ya 280 zimetolewa kwa wakazi wa mji huo kwa awamu ya kwanza ya kazi za Ujenzi
0 comments:
Post a Comment