Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM Watambulishwa na Rais kikwete mjini Dodoma leo
Mwenyekiti
wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wanachama wa CCM
wakati wa hafla ya kuwatambulisha wajumbe wapya wa Kamati kuu ya CCM
ilkiyofanyika katika viwanja vya Makao makuu ya CCM mjini Dodoma leo.
Mwenyekiti
wa CCm Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na
wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM nje ya ukumbi wa White House,Makao Makuu ya
CCM mjini Dodoma leo.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na waliokuwa viongozi waandamizi
wa CHADEMA.Kushoto anayevaa kofia ya CCM ni aliyekuwa mgombea Ubunge
jimbo la Mbozi Magharibi kwa tiketi ya CHADEMA Bwana Mtela Mwampamba na
kulia ni Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti Baraza la Vijana CHADEMA Bi
Juliana Shonza.Weninge katika picha ni Katibu mkuu wa CCMNdugu
Abdulrahman Kinana(kulia) na kushoto ni Makamu Mweyekiti wa CCM Bara
Ndugu Philip Mangula.
Related Product :
Why Shop on Bongo Online?
We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be
0 comments:
Post a Comment