Welcome to our online store Portal

Template Information

Saturday, March 2, 2013

KAMPENI ZA MWISHO ZA USHAGUZI MKUU NCHINI KENYA

Wagombea uchaguzi wa Kenya wanafanya mikutano ya mwisho ya hadhara kabla ya upigaji kura Jumatatu.
Wagombea uchaguzi wa Kenya

Huu ndio uchaguzi wa kwanza kufanywa kufuatana na katiba mpya ambayo inalenga kuepusha ghasia zilizotokea miaka mitano iliyopita.
Mjini Nairobi maelfu wamekusanyika katika uwanja wa Nyayo kumsikiliza Waziri Mkuu, Raila Odinga.
Wafuasi wa Naibu Waziri Mkuu Uhuru Kenyatta wako katika uwanja wa Uhuru.
Huku nyuma Wakenya walioko nchi za n'gambo wanasema wanaona wameonewa kwa kutoruhusiwa kupiga kura, ingawa fedha wanazopeleka nyumbani zinasaidia sana uchumi wa nchi yao.
Inakisiwa kuwa Wakenya walioko nje, hasa Marekani, Uingereza, Ujerumani na nchi jirani ni kama milioni mbili na nusu.
Mwezi Novemba serikali ya Kenya iliamua kuwa Wakenya walioko nje ya nchi hawataweza kupiga kura kwa sababu ya matatizo ya usafiri na kifedha.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop