Rais Obama atua nchini Israel
Rais Obama
Rais Barack Obama amewasili nchini Israel. Hii ni ziara yake ya kwanza kama rais wa Marekani.
Huku akiwasili, waandamanaji walikusanyika na ulinzi kuimarishwa nchini Israel na katika maeneo ya Palestina.
Bwana Obama anategemewa kukutana na Waziri Mkuu
Benjamin Netanyahu na rais wa Palestina Mahmoud Abbas wakati wa ziara
yake ya siku tatu.
Vita nchini Syria na wasiwasi kuhusu nia za Iran za kinyuklia ni kati ya maswala muhimu, wanasema waandishi habari.
Related Product :
Why Shop on Bongo Online?
We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be
0 comments:
Post a Comment