Welcome to our online store Portal

Template Information

Thursday, July 4, 2013

BAKHRESA AIONYESHA SERIKALI KUA ANAWEZA BILA KUWEZESHWA

Eneo la mapokezi ya abiria linavyoonekana kwa nje lililojengwa Zanzibar kwa ufadhili wa Bakhresa
 Tajiri nambari moja Tanzania na wa 30 Afrika  Said Salim Bakhesa ameidhihirishia Serikali ya Tanzania kua ana uwezo wa kufanya mabadiliko makubwa ktk nchi yake kwa kuamua kuliendeleza eneo la bandari ya Zanzibar kutokana na serikali hiyo kushindwa kuliendeleza eneo hilo kutokana na hali ya kifedha kua mbaya na kuamua kumkabizi mfanya biashara huyo mkubwa Tanzania na Afrika na kweli ameonyesha anaweza,
Ufadhili huo ni pamoja na Jengo kwa ajili ya watu wa TRA, Mamlaka ya Bandari ZNZ, Polisi, Uhamiaji maduka na ofisi mbalimbali kwa matumizi ya serikali. Kwa kweli serikali ilifanya uamuzi wa busara kumkabizi mzawa bandari hii na hatuna budi kuiunga serikali mkono kwa hili na kujitahidi kumuamini zaidi mzawa kuliko wawekezaji wanaohamisha mali zetu kila kukicha na kutuacha tukiwa duni kila siku.

Eneo la Bandari ya Zanzibar linavyoonekana kwa nje lililojengwa Zanzibar kwa ufadhili wa Bakhresa

Eneo la kupumzikia abiria lililopo bandari ya zanzibar kwa ufadhili wa Bakhresa

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop