Welcome to our online store Portal

Template Information

Monday, September 16, 2013

Dr Jabir Kuwe Bakari ajitoa Bodi ya Bandari

Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, ameipangua Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kwa kuwaondoa wajumbe sita kati ya wanane kwa lengo la kuondoa migongano isiyo na tija ndani ya mamlaka hiyo.

Amewateua wajumbe wapya watatu na kusababisha iwe wajumbe watano ambao ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) na Mwakilishi wa wafanyakazi wa TPA ambao hakuwataja majina.

Kwa mujibu wa taarifa ya wizara hiyo iliyotolewa jana, wajumbe waliondolewa ni Julius Mamiro, John Ulanga, Caroline Kavishe, Dk. Hildebrand Shayo na Asha Nasoro.
Dk. Mwakyembe pia amekubali ombi maalum la Dk. Jabiri Kuwe Bakari ambaye pia ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa e-Government, la kujitoa kwenye ujumbe ili aelekeze nguvu zake katika kuiimarisha taasisi yake ambayo huduma zake zitanufaisha idara na taasisi zote za Serikali ikiwamo TPA.

Katika mabadiliko hayo, Dk. Mwakyembe  amewabakiza wajumbe wawili ambao ni Saidi Sauko na Jaffer Machano.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop