Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya chai kutoka kwa Bing
Zhingang, Makamu Gavana wa wa jimbo la Liaoning nchini China baada ya
kuzungumza na ujumbe wa Magavana kutoka China, Ofisinni kwake jijini
Dar es salaam, Novemba 26, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akitazama zawadi ya picha aliyozawadiwa na Makamu
Gavana wa jimbo la Shaanxi , Bibi Wang Lixia baada ya mazungumzo yake
na ujumbe wa Magavana kutoka China Ofisini kwake jijini Dar es salaam
Novemba 26, 2013.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya mapambo kutoka kwa Jackerson
Yan ambaye ni Mkurugenzi na Meneja Mkuu wa Gulf Development and
Investment Group wakati alipokutana na ujumbe wa Magavana na
wafanyabiashara kutoka China, Ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya picha Bw. Xia Geng, kiongozi
wa ujumbe wa Magavana kutoka China baada ya kuzungumza na magavana hao,
ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya Kinyago ,Bw. Xia Geng,
kiongozi wa ujumbe wa Magavana kutoka China baada ya kuzungumza na
magavana hao, ofisini kwake jijini Dar es salaam.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Jackerson Yan ambaye ni
Mkurugenzi na Meneja Mkuu wa Gulf Development and Investment Group
wakati alipokutana na ujumbe wa Magava na wafanyabiashara kutoka China,
Ofisini kwake jijini Dar es salaam, Novemba 26, 2013. Katikati ni
balozi wa China nchini, Lu Youqing.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment