Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisoma hotuba yake wakati wa hafl ya kutoa Tuzo kwa Watanzania walio
mstari wa mbele katika kuboresha Afya ya Mama na Mtoto, iliyofanyika
kwenye Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam jana. (Picha na OMR)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib
Bilal,akimkabidhi Tuzo, Mwnyekiti wa Makampuni ya IPP, Regnald Mengi,
wakati wa hafla ya utoaji wa Tuzo kwa Watanzania walio mstari wa mbele
katika kuboresha Afya ya Mama na Mtoto, iliyofanyika kwenye Viwanja vya
Karimjee, jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal,akimkabidhi Tuzo,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na
Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu, aliyepokea kwa niaba ya Rais Mstaafu wa
awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, wakati wa hafla ya utoaji wa Tuzo kwa
Watanzania walio mstari wa mbele katika kuboresha Afya ya Mama na Mtoto,
iliyofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Ghari Bilal,
akimkabidhi Tuzo, Dkt. Faraji Mkwakwacha, wakati wa hafla ya utoaji wa
Tuzo kwa Watanzania walio mstari wa mbele katika kuboresha Afya ya Mama
na Mtoto, iliyofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee, jijini Dar es
Salaam. Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na
Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib
Bilal,akimkabidhi Tuzo, Nesi Yasinta Baruti, kutoka Mkoa wa Katavi,
wakati wa hafla ya utoaji wa Tuzo kwa Watanzania walio mstari wa mbele
katika kuboresha Afya ya Mama na Mtoto, iliyofanyika kwenye Viwanja vya
Karimjee, jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib
Bilal,akimkabidhi Tuzo, Elia Elikana, kutoka mkoa wa Singida ambaye ni
mwanaume aliyepata tuzo hiyo kwa kumsindikiza mkewe Kliniki mara nyingi,
wakati wa hafla ya utoaji wa Tuzo kwa Watanzania walio mstari wa mbele
katika kuboresha Afya ya Mama na Mtoto, iliyofanyika kwenye Viwanja vya
Karimjee, jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu.
Picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Taasisi ya Madaktari wahitimu Tanzania na waliopata Tuzo.
0 comments:
Post a Comment