Kutokana na maamuzi ya cha CHADEMA ya kumvua uongozi Mh Zitto Kabwe na wenzie watatu na kujiuzuru kwa naibu makamu mkuu wa Chama hicho bara, msanii maarufu nchini Afande Sele ambae aliingia ktk chama hicho karibuni ili kujiandaa kugombea ubunge mjini morogoro 2015 ameamua kurudisha kadi ya chama hicho baada ya kuona kimepoteza muelekeo na kutosema anaelekea chama gani kwa sasa mpaka pale atakapotangaza rasmi. Kutokana na maamuzi ya chama hicho toka kianze kuwafukuza viongozi wake wa juu nchini kimeanza kupoteza wanachama 400 vijana wa ruvuma na kuingia CCM na kinaendelea kupoteza muelekeo ule ambao ilikua nao na kuwafanya wanachama wengi wa chama hicho kua na hofu na chama chao. Kwa habari zaidi kuhusu suala hili tembelea blog hii
Sunday, November 24, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Why Shop on Bongo Online?
We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be
0 comments:
Post a Comment