Welcome to our online store Portal

Template Information

Thursday, November 14, 2013

MWAKYEMBE ATEMA CHECHE KWA WAFANYABIASHARA

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ametangaza vita rasmi na wafanyabiashara wanaoingiza bidhaa za magendo kupitia bandari bubu mkoani Tanga na maofisa wa vyombo vya Serikali waliopo kwenye mtandao huo.
Dk Mwakyembe aliwataka watambue kuwa, kiama chao kimefika kwa sababu tayari Serikali inayo majina ya wafanyabiashara na baadhi ya maofisa wa polisi, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari (TPA) wanaotumika kufanikisha upitishaji magendo.
Dk Mwakyembe ambaye aliwasili Tanga juzi na kufanya ziara ya ghafla kutembelea bandari bubu zilizoko mkoani hapa, alitangaza vita hiyo alipozungumza na maofisa wa TRA, polisi, TPA na wafanyabiashara.
Alisema baada ya Serikali kudhibiti Bandari ya Dar es Salaam, wafanyabiashara magwiji wa upitishaji bidhaa za magendo wamehamishia nguvu zao Tanga.
“Natangaza rasmi vita dhidi ya walio katika mtandao huo, watambue hatuwezi kuruhusu Bandari ya Tanga, bandari bubu na mpaka wa Horohoro kuwa gulio la walanguzi, wapitishaji dawa za kulavya na wahamiaji haramu,” alisema.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop