Baadhi
ya ujumbe wa watu wapatao zaidi ya 70 kutoka Serikali za Mitaa
wakiaangalia mchoro wa ramani ya Tanzania ili kuelewa maeneo mbalimbali
leo katika Makumbusho ya Taifa jijini Dares Salaam.
Naibu
Gavana wa Jimbo la Shandong , Xia Geng akiangalia picha ya
mbalimbali za baba wa taifa hayati Mwalimu Julius K. Nyerere katika
Makumbusho ya Taifa ikiwemo ya kuwekwa wakfu kuwa Rais wa Kwanza wa
Tanzania mwaka 1962 leo jijini Dares Salaam.
Baadhi
ya ujumbe wa ya ujumbe wa watu wapatao zaidi ya 70 kutoka Serikali za
Mitaa China wakiaangalia moja ya behewa la Reli ya Tanzania na
Zambia leo mara baada ya kuetembelea ofisi ya makao makuu ya reli hiyo
jijini Dares Salaam.
Baadhi
ya ujumbe wa watu wapatao zaidi ya 70 kutoka Serikali za Mitaa China
wakiaangalia mchoro wa ramani ya kuonesha njia ya Reli ya Tanzania na
Zambia kwenye makao makuu ya ofisi ya Reli ya Tanzania na Zambia
jijini Dares Salaam.
Baadhi
ya ujumbe wa watu wapatao zaidi ya 70 kutoka Serikali za Mitaa
China wakiaangalia picha za viongozi mbalimbali wa nchi hizo kwenye
makao makuu ya ofisi ya Reli ya Tanzania na Zambia jijini Dares Salaam.
Naibu
Gavana wa Jimbo la Shandong , Xia Geng( kulia) akimkabidhileo zawadi
ya kuonesha upendo Afisa Masoko ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na
Zambia(TAZARA), Michael Myange (katikati) na kushoto ni Mkuu wa Kituo
cha Polisi cha TAZARA, Bakari Makuka mara ya kutembelea ofisi ya makao
makuu ya reli hiyo jijini Dares Salaam.
Naibu
Gavana wa Jimbo la Shandong , Xia Geng( kushoto)akionesha moja ya
tisheti zinazotengenezwa nchini kupitia mwekezaji kutoka nchi hiyo
kwenye Mamlaka ya Ukanda Maalum wa Uwekezaji Tanzania (EPZA) leo mara
baada ya kutembelea eneo hilo jijini Dares Salaam.(Picha na Magreth
Kinabo – Habari Maelezo)
0 comments:
Post a Comment