Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akibadilishana
mawazo na mwenyeji wake Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchini Zambia,
Edgar Lungu, ofisini kwake jijini Lusaka nchini Zambia. Waziri Nchimbi
yupo nchini humo kwa ziara ya kikazi ambapo katika majadiliano yao
wamekubaliana kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo kwa kuboresha
huduma katika Jeshi la Polisi, Magereza, Uhamiaji na Idara ya Wakimbizi
ili yaweze kutoa huduma nzuri zaidi kwa wananchi.. Picha na Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi.
Balozi
wa Tanzania nchini Zambia, Grace Mujuma (kushoto) akifuatilia kwa
makini majadiliano kati ya Waziri ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel
Nchimbi (kulia) na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchini Zambia, Edgar
Lungu (hayupo pichani). Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Waziri
Lungu, jijini Lusaka nchini Zambia. Waziri Nchimbi yupo nchini humo kwa
ziara ya kikazi ambapo wamekubaliana kuimarisha ushirikiano kati ya
wizara hizo kwa kuboresha huduma katika Jeshi la Polisi, Magereza,
Uhamiaji na Idara ya Wakimbizi ili yaweze kutoa huduma nzuri zaidi kwa
wananchi. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akimsikilza
kwa makini mwenyeji wake Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchini Zambia,
Edgar Lungu, ofisni kwake jijini Lusaka nchini Zambia wakati walipokuwa
wanajadiliana masuala mbalimbali yaliyopo ndani ya wizara zao. Waziri
Nchimbi yupo nchini humo kwa ziara ya kikazi ambapo wamekubaliana na
Waziri Lungu kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo kwa kuboresha
huduma katika Jeshi la Polisi, Magereza, Uhamiaji na Idara ya Wakimbizi
ili yaweze kutoa huduma nzuri zaidi kwa wananchi. Picha na Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi.
0 comments:
Post a Comment