Katibu
Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga
(katikati) akielekea katika banda lilipo Kombe la Duni wakati wa ziara
ya Kombe hilo hapa nchini jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mkurugenzi wa
Maendeleo ya Michezo Leonard Thadeo na Kushoto ni Meneja wa Uwanja wa
Taifa Rish Moses Urio.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga
akiwa pembeni ya Kombe la Dunia lililopo nchini katika ziara zake jijini
Dar es Salaam.
Mkurugenzi
wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Leonard Thadeo akiwa pembeni ya Kombe la Dunia lililopo nchini
katika ziara zake jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya
Michezo wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leonard Thadeo
akiwa pembeni ya Kombe la Dunia lililopo nchini katika ziara zake
jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya mashabiki wa mpira wa miguu waliofurika uwanja wa Taifa kushiriki
ziara ya Kombe la Dunia wakiwa katika foleni ya kuelekea eneo lilipo
Kombe hilo jana jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Frank Shija – WHVUM)
0 comments:
Post a Comment