Mkuu
wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua semina ya siku
mbili iliyohusu soko la kukuza ujasiriamali (EGM) iliyoandaliwa na soko
la hisa la Dar-es-salaam (DSE) na kufadhiliwa na Financial s=Sector
Deepening trust (FSDT).Semina hiyo imefanyika kwenye ukumbi wa Aque
Vitae hotel mjini Singida. Kushoto ni Afisa Mahusiano na mshauri wa
masula ya Kisheria wa soko la Hisa Dar-es-salaam, Bi.Mary Mniwasa na
kulia ni mwenyekiti wa TCCIA mkoa wa Singida,Francis Mashuda.
Baadhi
ya wajasiriamali na wafanyabiashara mjini Singida,waliohudhuria semina
ya siku mbili iliyohusu soko la kukuza Ujasiriamali (EGM) iliyofanyika
kwenye ukumbi wa mikutano wa Aqua Vitae hoteli mjini Singida.
Mkuu
wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone (wa pili kushoto)
akijadiliana jambo na Afisa Mahusiano na mshauri wa masuala ya Kisheria
wa soko la Hisa la Dar-es-salaam,Bi. Mary Mniwasa,(wa pili kulia) muda
mfupi baada ya kufungua semina ya siku mbili iliyohusu soko la kukuza
Ujasiriamali (EGM).
Mkuu
wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone,(wa pili kulia walioketi)
akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wajasiriamali na
wafanyabiashara wa mjini Singida waliohudhuria semina ya siku mbili ya
soko la kukuza Ujasiriamali (EGM).Wa kwanza kulia (walioketi) ni afisa
mahusiano na mshauri wa masuala la kisheria wa soko la hisa la
Dar-es-salaam (DSE) Mary Mniwasa na kushoto ni mwenyekiti wa TCCIA mkoa
wa Singida,Francis Mashuda.(Picha na Nathaniel Limu).
0 comments:
Post a Comment