Jumla ya watu 9 wameripotiwa kufariki na wengine zaidi ya 30 wamejeruhiwa katika ajali
iliyohusisha basi la abiria kupinduka mkoani Lindi kutokana na kutaka kulikwepa
lori walilokuwa wakipishana nalo eneo la ajali.
Basi hilo la kampuni ya Alhamdulilah linalofanya safari zake
kati ya Mtwara Dar es salaam.
Ajali hiyo ilitoekea eneo la Mambulu mkoani Lindi majira ya mchana leo.
Imedaiwa chanzo cha ajali ni basi hilo kupishana na lori na kupoteza mwelekeo na hatima yake kupinduka kutokana na utelezi uliokuwepo uliotokana na mvua iliyokuwa ikinyesha mkoani humo.
Ajali hiyo ilitoekea eneo la Mambulu mkoani Lindi majira ya mchana leo.
Imedaiwa chanzo cha ajali ni basi hilo kupishana na lori na kupoteza mwelekeo na hatima yake kupinduka kutokana na utelezi uliokuwepo uliotokana na mvua iliyokuwa ikinyesha mkoani humo.
0 comments:
Post a Comment