Welcome to our online store Portal

Template Information

Thursday, February 20, 2014

MUSEVEN APIGA MARUFUKU UVAAJI WA VIMINI NA MAZIWA NJE!

 
http://azizicompdoc.blogspot.com/
Kwasasa Uganda, imekua nchi ya kuigwa kwa jambo jema, nchi hiyo imepiga marufuku Vazi la “KIMINI” yani Nguo Fupi kwa wanawake wote nchini humo.
Taarifa hiyo imetoka mara baada ya Rais Yoweri Museveni, kusaini mswada huo na kuwa sheria ya nchi, inadaiwa kuwa kuzuia mavazi hayo kutasaidia sana kupunguza vitendo vya Ubaki na Ngono zembe kutoka na ushawishi wa mavazi hayo kwa jamii.
 
Hii kitu ya kutovaa nguo fupi na zile za kuonesha maziwa nje, inaonekana kuwabana wasanii wa kike moja kwa moja, maana wengi wao ndio kichocheo kikubwa kwa jamii. Waziri alifunguka na kusema kuwa   “hatutaki uhusike kufanya watu wakutamani au watamani kufanya ngono, hatutaki ushawishi chochote kwa jinsia ya kiume, kuwa na tabia njema kwa kuvaa kiheshima”.
 
Pia vyombo vya habari vya Uganda vimekatazwa kuonesha watu wakipigana mabusu sambamba na wanawake kuvaa hayo mavazi katika vipind

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop