New Picture (6)
Balozi wa Tanzania nchini UAE, Mheshimiwa Mbarouk Nassor Mbarouk na Mkuu wa Itifaki wa UAE, Mheshimiwa Shihab Al Faheem (kulia) wakiwa wamesimama wakati wimbo wa Taifa wa Tanzania ukipigwa.
New Picture (7)
Mheshimiwa Balozi akiwasilisha salaam kutoka kwa Mheshimiwa Rais wa Tanzania na kujitambulisha rasmi.
New Picture (8)
Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mtukufu Sheikh Mohammed bin Rashid Al Makhtoum, Makamo wa Rais wa UAE, Waziri Mkuu na Mtawala wa Dubai, kwenye kasri ya Al Mushrif, mjini Abu Dhabi, UAE.