Welcome to our online store Portal

Template Information

Tuesday, August 26, 2014

FURSA YA KUSOMESHWA NA MFUKO WA MWL NYERERE KWA WATANZANIA TUU

http://azizicompdoc.blogspot.com/

With effect from the 2013/14 academic year, the M
walimu Julius K. Nyerere Memorial Scholarship Fund began granting Scholarship in the United Republic of Tanzania. The Fund grants scholarship to top best undergraduate female Tanzanian students to pursue Mathematics and Science studies in Tanzanian universities.
It is also partly used to sponsor both male and female Tanzanians
top best students to pursue undergraduate studies in Economics Information Technology, Accounting and Finance as well as best
students intending to pursue Master’s programmes in those fields
Follow the link for more information
View detail

UMESHAWAHI KUJIULIZA KUHUSU KUPATA MAFANIKIO? MAJIBU ULIYAPATA?

Ulishawahi kujiuliza siku moja kua kwanini watanzania wengi tuna uwezo wa kifikra lakini hatufiki popote kwa mawazo na fikra zetu? Je ulishapata jibu? sasa fuatana mimi kujua jibu la swali hili, ni kutokana na kutofikiria tunaanzaje kutekeleza tunalolifikiria ktk vichwa vyetu, tunaipaje nafasi fikra yetu? tunalipaje nafasi wazo letu? je tunaweza kulielezea wazo letu? lakini haya yote niliyapata majibu ktk mafunzo mafupi niliyohudhuria KINUvation ktk mafunzo yalipewa jina la
Design for Development Bootcamp! ambayo yalinifanya nipanue uwezo wangu wa kiakili, kifikra na kuweza kuyawasilisha yale ninayoyafikiri ili yaweze kunisaidia mimi na watu wanaonizunguka bila kumsahau muajiri wangu kunafaika na elimu niliyoipata. Hakika ni pongezi kwao waliofikiria kutuletea mafunzo kama haya KINUvation chini ya usimamizi mkubwa wa Catherinerose Barretto na  Mr Max Krueger  pongezi kubwa kwa watu hawa
 



http://azizicompdoc.blogspot.com/
Hakika mafanikio hufurahisha sana pale unapoona ulilofikiri linafanikiwa
Akili hutulia sana pale unapojiandaa kuonyesha ulilolifikiria na kulifanikisha


http://azizicompdoc.blogspot.com/
Ni furaha isiyokifani pale ulilionyesha kwa wenzio linafanikiwa

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Hakika maelekezo na mafunzo lazima yafuatwe kabla ya lolote kufanyika

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Inafurahisha kila mtu anapopewa nafasi ya kusikilizwa na kuelezea analolifikiri lingefaa kunufaisha wengine


http://azizicompdoc.blogspot.com/
Hakika akili ukiituma yaweza kukupa majibu sahihi

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Kila mmoja akipewa nafasi kwa wakati wake maendeleo yanaweza kua makubwa zaidi

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Je na wewe umeshafikiria kuutoa ujuzi ulionao kwa wengine tena bila ya malipo?

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Hakika kila aliye na ujuzi wa jambo anapenda na mwingine aupate ujuzi huo, ni suala la furaha

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Ukiona Fursa huna budi kuifuata na kunufaika nayo


View detail

Thursday, August 21, 2014

MWINYI ATEMA CHECHE ZAWAGUSA VIONGOZI WAKUBWA NCHINI


http://azizicompdoc.blogspot.com/
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (katikati) akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda (kwanza kushoto) akizungumza kwenye semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda (kwanza kushoto) akizungumza kwenye semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda akizungumza kwenye semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda akizungumza kwenye semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Katibu Msaidizi Kanda ya Mashariki, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Getrude Cyriacus (wa kwanza kushoto) akiwasilisha mada juu ya Rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma kwa wanasemina.
Katibu Msaidizi Kanda ya Mashariki, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Getrude Cyriacus (wa kwanza kushoto) akiwasilisha mada juu ya Rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma kwa wanasemina.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi amesema bado viongozi wa umma wanatumia madaraka yao na Ofisi zao kwa kujinufaisha wenyewe na kuwasahau wananchi waliowaweka madarakani hivyo kuna kila sababu ya kuleta sheria ya kuziba mianya hiyo kwa viongozi wanaokwenda kinyume na maadili.

Alhaj Mwinyi ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Alisema licha ya kuwepo kwa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya mwaka 1995 inayotumika sasa bado kumekuwa na wimbi kubwa la mienendo ya matumizi mabaya ya ofisi na madaraka kwa viongozi wa umma kwa kujinufaisha wenyewe kimaslahi.

“…Maana yake ni kwamba umma sasa haupewi kipaumbele unavyo stahiki. Maamuzi ya viongozi yanatolewa kwa maslahi binafsi na hivyo kudhihirisha kuwepo kwa tatizo la mgongano wa maslahi. Viongozi hao waliopewa dhamana na wananchi wanatumia rasilimali za umma ili kujinufaisha binafsi au shughuli zao ambazo wanazo pembeni,” alisema Rais huyo mstaafu.
Alisema hata hivyo sheria ya maadili ya viongozi wa umma imekuwa na mapungufu kwa kuwabana baadhi ya viongozi wa umma na kuwaacha wengine pamoja na watumishi wa umma hivyo kujikuta nao wakijihusisha na mgongano wa kimaslahi.

Hata hivyo, ameongeza kuwa tayari Serikali imeona mianya hiyo na hivyo kuanza mchakato wa kuja na sheria maalum itakayo dhibiti hali hiyo. “…Nadhani mmewahi kusikia mara kwa mara namna ambavyo Rais wetu Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiagiza Serikali kufanya jitihada za dhati ili kuhakikisha kuwa viongozi wa umma wanaacha au wanajiepusha na tabia ya kushiriki zaidi kwenye biashara na kuacha jukumu lao…,” alifafanua Mwinyi akiwaeleza washiriki wa semina hiyo.
Aidha aliipongeza Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa kuanza mchakato wa kutungwa kwa sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma, ambapo itakapo kamilika huenda ikawa suluhisho la mgongano wa kimaslahi kwa viongozi na watumishi wa umma.

Rais huyo mstaafu aliwataka wanasemina kuijadili rasimu iliyowasilishwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na kutoa maoni yao kuiboresha zaidi ili itoke na majibu ya kero ya muda mrefu ya Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Kwa upande wake, Katibu Msaidizi Kanda ya Mashariki, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Getrude Cyriacus akiwasilisha mada juu ya Rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma kwa wanasemina kabla ya mjadala alisema wataalam wa Sekretarieti hiyo wamefanya utafiti kwenye mataifa mbalimbali na kutoka na mapendekezo ambayo yataongoza mjadala kuelekea kupata sheria nzuri.

Naye Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda akizungumza katika semina hiyo, alisema Rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma walioiandaa itajadiliwa na wadau mbalimbali ili kupata maoni kabla ya kuwasilishwa kwenye baraza la makatibu wakuu kuboreshwa zaidi kabla ya mchakato kupanda ngazi za juu.

Aidha aliwataka wananchi na wadau wengine kuendelea kuijadili Rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma pindi itakapo wafikia na kutoa maoni kwa lengo la kuiboresha zaidi ili itakapo kamilika iweze kufanya kazi vizuri na kujibu kero zilizopo katika eneo hilo la viongozi wa umma.
“…Mapendekezo ya sheria hii hayalengi kuwafanya viongozi kuwa maskini, bali kasi yao ya ukwasi iendane na hali halisi ya kipato chao. Sheria hii itakapopitishwa itapunguza ubinafsi wa viongozi walioko madarakani kujipendelea wenyewe na maeneo wanayotoka.” Alifafanua Jaji Kaganda.
View detail

Design for Development Bootcamp

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Interested in creating technologies and enterprises that improve the lives of people living in poverty? In this full day hands on workshop you will be introduced to the design cycle and and collaboratively work on solutions to real world problems

The workshop is co-hosted by Kinu and alumnus of this years International Development Design Summit (IDDS) in Arusha, who will introduce you to some of the concepts and tools used at IDDS.

Follow the link for more Information View detail

Wednesday, August 20, 2014

WANAFUNZI WA STASHAHADA YA UALIMU KUNUFAIKA NA MIKOPO


IMG_1680
Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya utoaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2014/2015, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
IMG_1689
Baadhi ya Waaandishi wa Habari wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.

Serikali  imetoa fursa ya mikopo kwa wanafunzi watakaojiunga na masomo ya stashahada maalum ya ualimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Habari Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa wakati wa Mkutano na waandishi wa Habari Leo Jijini Dar es salaam.
“ Wanafunzi wapatao 5,000 wanatarajiwa kujiunga na stashahada maalum katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambapo wote watanufaika na mikopo ya elimu ya Juu.”Alisema Mwaisobwa
Akifafanunua, Mwaisobwa alisema kuwa lengo la mpango huo ni kusaidia kuondoa tatizo la walimu wa masomo ya sayansi hapa nchini .

Aidha Mwaisobwa alibainisha kuwa jumla ya maombi 58,037 ya mikopo  yalikuwa yamepokelewa hadi kufikia Julai 2014 ambapo maombi 37,689 ni waombaji wa kiume na 19,592 ni waombaji wa kike.
Pia Mwaisobwa alibainisha kuwa majina ya wanafunzi watakaopata mikopo kulingana na udahili yatatangazwa kwenye tovuti ya Bodi  ambayo ni www.heslb.go.tz .na taarifa hiyo itatangazwa katika vyombo vya habari.
Bodi ya Mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu (HESLB) inakusanya wastani wa shilingi bilioni 3 kwa mwezi ikiwa ni marejesho ya mikopo iliyokwisha tolewa.
View detail

Wednesday, August 13, 2014

MOTO MKUBWA WAZUKA KTK MSIKITI WA MTAMBANI

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Moto mkubwa umetokea ktk msikiti wa Mtambani uliopo endeo la Kinondoni "B" na kuunguza eneo lote la juu la msikiti huo ambako kunasadikiwa kulikua na madarasa kwa ajili ya shule inayomilikiwa na msikiti huo, chanzo cha moto huo bado hakijajulikana ila inasemekana ulianza ktk chumba kimoja walichokua wanalala wanafunzi wa shule hiyo baadhi wa kike na inasemekana  huenda ikawa ni mshumaa ndio ulisababisha moto huo lakini hizi ni tetesi kwa baadhi ya watu walioshuhudia tukio hilo na tunangojea taarifa maalumu kutoka kwa kamanda wa Polisi wa mkoa wa kipolisi wa kinondoni kuthibitisha chanzo cha moto huo. Endelea kutufuatili zaidi kupata taarifa yote ya tukio hili View detail

DR POUL FAUSTIN KIHWELO ATELULIA KUA JAJI

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Dr. Paul Faustin Kihwelo ateuliwa na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kua Jaji, uteuzi huo utatekelezwa mara moja baada ya majaji wote walioteuliwa kuapishwa kesho Ikulu jijini Dar es salaam, Kabla ya uteuzi huo Dr. Paul Faustin Kihwelo alikua Mhadhir ktk Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ktk kitivo cha sheria na pia ni wakili wa kujitegema.
View detail

Monday, August 11, 2014

Tanzania Youth in Agribusiness Forum – Lindi and Mtwara

http://azizicompdoc.blogspot.com/

Event Name: Tanzania Youth in Agribusiness Forum – Lindi and Mtwara Road show
Date: August 23, 2014 From 0830 am – 1700 pm
Location/Venue: Double M conference centre
City/Town: Lindi Town
Organized By: Agri-Pro Focus Tanzania, ANSAF, AMSHA and TGFA collaboration with Africare and LIMAS
Phone: AMSHA +255 716 966 447, TGFA +255 753 843 321/ 763846 255
Introduction
On 23rd August 2014, a consortium of organisations under the Agri-ProFocus Tanzania umbrella namely; AMSHA Institute of Rural Entrepreneurship and Tanzania Graduate Farmers Association (TGFA) in partnership with ANSAF, Africare and LIMAS will hold the Lindi and Mtwara road show. The road show aims to embrace agribusiness opportunities for youth employment by bringing key stakeholders in the agriculture sector to share experiences and best practices/achievements made by youth led enterprises and initiatives while addressing opportunities and challenges for youths engagement in agriculture value chains.
The Motto for TYIAF Lindi and Mtwara Road show is: “Kilimo Biashara ndio Mpango Mzima”which translates to “Agribusiness is a whole plan”

This road show follows is a continuation of the fulfilment Tanzania Youth in Agribusiness Forum (TYIAF) objectives which aim to:
1. Acknowledge achievements and address by sharing challenges of Youth Agribusiness Enterprises, youth role models, young Agro entrepreneurs and projects which support youths.
2. Share knowledge on existing opportunities and how best to tap into these opportunities through empowering youth and addressing their challenges.
3. Share the APF Tanzania online platform so that youth can use the platform to share, discuss, network and conducting business through the online market place.
4. Design and implement strategies for business partnership and knowledge sharing so as to engage more youth into Agribusiness.
5. Promote coordination among youth support projects and programs whether public or non state actors
6. Provision of a single multi stakeholder platform where key stakeholders for agriculture and youth development will meet in roundtable to share, exchange experience, realize opportunities and strengthen their efforts in promoting youth employment through entrepreneurship.

Rationale forthe TYIAF Lindi and Mtwara road show;
Currently, there are a number of projects and initiatives as well as policies which support and recognize the youth and their roles in social development. Nevertheless, despite the various efforts to promote the involvement of the youth in agribusiness, it is still not perceived as a viable business or employment option. This could be due to a number of factors including poor or no promotion of agribusiness
Opportunities, lack of incentives, even the conventional education systems which lack of enough practical oriented agribusiness skills, capacity as well as enough information as relate to clear policy implementations and the available agribusiness opportunities that inspired and motivated youths especially Graduates can tap into. But in other side Agriculture sector still offer varieties of entrepreneurial and employment opportunities in its subsector value chains. All this is happening in the face of a rising demand for food as population grows, and investment in agribusiness services for betterment of Agricultural sector growth Register now to attend
View detail

Saturday, August 9, 2014

SERIKALI YATANGAZA NAFASI ZA KAZI 254 KWA FANI MBALI MBALI

http://azizicompdoc.blogspot.com/

Procurement Services Agency (GPSA), The Tanzania Buildings Agency (TBA), The
Tanzania Broadcasting Corporation (TBC), Institute of Finance Management (IFM),
Mineral Resources Institute (MRI), Ocean Road Cancer Institute (ORCI), The Institute of
Judicial Administration (IJA), Ministry of Minerals and Energy and Tanzania Commission for
Science and Technology (COSTECH), Public Service Recruitment Secretariat invites
qualified Tanzanians to fill 254 vacant posts in the above public institutions.
On behalf of the Tanzania Automotive Technology Centre (TATC), The Government
Bofya hapa kuona nafasi zilizotangazwa View detail

Sunday, August 3, 2014

HATARI KUBWA YA MADEREVA WA MAGARI KUKOSA AJIRA


http://azizicompdoc.blogspot.com/
Gari linalojiendesha
Serikali ya Uingereza imetangaza kuwa itaziruhusu gari zisizokuwa na madereva barabarani ifikapo mwezi Januari mwakani.
Serikali hiyo pia imetoa wito miji ya Uingereza zitoe mapendekezo ya kuwania kuwa wenyeji wa moja kati ya majaribio 3 ya magari hayo.
Aidha waziri huyo ameagiza kufanywe mabadiliko ya sheria za barabarani ilikuafikiana na mabadiliko hayo ya teknolojia.
Wizara ya usafiri wa umma nchini Uingereza ilikuwa imeahidi kuruhusu majaribio ya magari hayo mwisho wa mwaka uliopita.
Katibu wa Biashara Vince Cable aliyasema hayo katika hafla ya uzinduzi katika kiwanda cha kutengeneza magari cha Mira,kilichoko Midlands.
"tangazo hili la leo linatoa ithibati kuwa magari pasi na madereva yatakuwa barabarani katika miezi 6 zijazo''.
http://azizicompdoc.blogspot.com/
Uingereza kuruhusu magari bila ya dereva katika miezi 6 ijayo
Waandisi nchini Uingereza wakishirikiana na wanavyuoni kutoka chuo kikuu cha Oxford wamekuwa wakifanya majaribio ya matumizi ya magari hayo yasiyo na madereva.
Wadau hata hivyo wamekuwa wakiibua tahadhari ya maswala ya Bima,na uhalali wa magari pasi na madereva jambo ambalo limewalazimu kutumia barabra za kibinafsi kwa majaribio yao.
''Mimi mwenyewe nilijiskia kuwa salama ndani ya gari hilo lililokuwa bila dereva''alisema bwana Cable.
Wakati huohuo Magari hayo yameruhusiwa kufanyiwa majaribio huko Marekani katika majimbo ya California, Nevada na Florida.
http://azizicompdoc.blogspot.com/
Nissan imeruhusiwa kujaribu magari bila ya dereva
Gari linalonadiwa na kampuni ya mtandao wa Google tayari limetumika kwa zaidi ya kilomita laki tatu hivi katika mabarabara ya umma.
Mwaka uliopita kampuni ya 2013 ilifanya majaribio ya gari lake huko Japan.
Barani Uropa kampuni ya kutengeza magari ya Volvo tayari imepata ithibati ya kujaribu magari yake mjini
Gothenburg Sweden.
View detail

ISRAEL YAZIDI KUWAUA WATOTO NA RAIA WASIO NA HATIA GAZA

http://azizicompdoc.blogspot.com/

Gaza
Ripoti za hivi karibuni zinaarifu kuwa shambulizi la angani la Israel limewauwa watu saba katika shule moja ya umoja wa mataifa katika mji wa Rafah.
Walioshuhudia wanasema kuwa kombora hilo lilipiga eneo moja karibu na mlango wa shule hiyo.
Usiku kucha Israel ilirusha makombora 13 ya angani yaliowauwa watu 13 waliuawa huku makombora mawili ya roketi yakirushwa nchini Israel.
Msemaji wa Jeshi la Israel Luteni kanali Peter Lerner amesema kuwa baadhi ya wanajeshi wanaondolewa katika eneo la Gaza ,lakini oparesheni hiyo itaendelea.
Wajumbe wa Hamas wamewasili katika mji mkuu wa cairo nchini Misri kwa mazungumzo ya kusitisha vita.
Israel imesema kuwa haipelekwa wawakilishi wake.
Wakati huohuo Msemaji wa umoja wa mataifa katika eneo la Gaza ameonya kuwa maafa makubwa ya kiafya huenda yakazuka katika eneo la Gaza kufuatia wiki tatu za mapigano katika eneo hilo.
Chris Gunness kutoka shirika la umoja wa mataifa linalosimamia misaada amesema kuwa maafisa wa afya katika eneo la Gaza wanaendelea kulemewa.
Amesema kuwa hospitali,zahanati na ambulansi zimeharibiwa na kwamba zile zinazotoa huduma zimezidiwa huku asilimia 40 ya maafisa wa afya wakishindwa kufika kazini View detail

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop