Noti mpya za Nigeria
Kampuni inayochapisha noti kwa ajili ya benki kuu ya
Nigeria inajaribu kubaini ni vipi noti mpya zenye thamani ya dola zaidi
ya milioni kumi na tatu zilipotea.
Kampuni ya Nigeria ya usalama na uchapishaji wa
pesa imemfuta kazi kwa muda mkurugenzi wake na mkuu wa usalama huku
ikiendelea na uchunguzi kuhusu tukio hilo.Shirika la kupambana na ufisadi Transparency International, liliiweka Nigeria nambari Thelathini na tano miongoni mwa nchi zenye ufisadi zaidi duniani lakini serikali inapinga hilo.
0 comments:
Post a Comment