MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2012 BOFTA HAPA
Waziri wa
Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (MB) leo ametangaza
rasmi matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne, maarifa na QT.
Jumla ya
watahiniwa waliofaulu kwa Mujibu wa Matokeo hayo ni 23520 kuanzia
daraja la I hadi la IV huku katika mchakato huo wasichana waliofaulu
katika mchakato huo ni 7178 na wavulana ni 16342.Aidha Waziri Kawambwa
amesema kuwa waliofaulu kwa daraja la kwanza ni 1641, daraja la pili ni
6495 na daraja la tatu ni 15426 na walio feli ni 24903.
Shule
bora ni pamoja na St. Francis Girl ya Mbeya, Marian Boys ya Bagamoyo,
Feza Boys Dar es Salaam, Marian Girls Bagamoyo na Simini,hizo ndizo
zilizopo kwenye tano bora huku shule nyingine ni Kanosa, Jude, St. Mary.
0 comments:
Post a Comment