Welcome to our online store Portal

Template Information

Monday, May 6, 2013

Tamko la Serikali kuhusu mlipukowa wa Arusha

nchimbi c9e41
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Dkt.Emmanuel Nchimbi
Na Immaculate Makilika-Maelezo
SERIKALI imesema kuwa itachukua hatua kali kwa mtu yeyote bila kujali hadhi nafasi yake katika jamii  kufuatia  kuwepo kwa watu wachache wasiyoitakia  mema nchi  yetu kutaka kupandikiza chuki za kidini miongoni mwa Watanzania na kuleta mapigano, mauaji  nchini
Kauli hiyo imetolewa leo Bungeni na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi wakati  akitoa kauli ya Serikali  kuhusu mlipuko wa uliotokea katika kanisa la katoliki la Mtakatifu Joseph  Parokia ya Olasiti  Arusha  mjini Mei 5, mwaka huu saa 4:30  asubuhi na kusababisha  vifo vya watu wawili na kujeruhi  59, kati ya hao watatu ni mahututi.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop