Katika
kuelekea Fainali ya EBSS 2013 kesho kutakuwa na Press Conference pale
katika ufukwe wa ESCAPE ONE Saa Tano Asubuhi, ambapo utawaona washiriki
wote walioingia Fainali kwa pamoja kabla ya siku yenyewe ya Jumamosi
tarehe 30 ambapo wote kwa pamoja tutashuhudia Yule Mshindi wa Milioni
50.
Waliofanikiwa
kuingia fainali ni Amina Chibaba (MBEYA), Melisa John (DSM), Elizabeth
Mwakijambile (DSM), Emannuel Msuya (MWANZA) na Maina Thadei (DSM)
Pia
siku ya Fainali kutakuwa na Burudani kutoka kwa Snura, Barnaba, Young
Killer, Shaa, Walter Chilambo, Peter Msechu na Makomandoo
Kiingilio katika Fainali hizo kitakuwa : VIP TSH 50,000/= KAWAIDA : TSH 20,000/=
Tiketi za siku ya Fainali zinapatikana sehemu zifuatazo :
-Shear illusion
- Biggy Respect (Kariakoo)
-Steers Mjini
-Zizzoue Fashion (Victoria na Sinza)
-Photo Point (Mayfair)
-Robby One Fashion (Kinondoni)
-Best Bite
-Engen Mbezi
-Escape One (Mikocheni)
-Benchmark Office Mikocheni
-American Nails (Kinondoni)
0 comments:
Post a Comment