Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bw.Philipo Mulugo,akifafanuliwa
jambo na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya
Ufundi(NACTE)Dkt.Primus Nkwera(kulia)kabla ya kufungua mkutano wa kwanza
Kitaifa wa wakuu wa vyuo vya ufundi,Serikali na wadau wengine wa elimu
ya ufundi,Mkutano huo wa siku tatu unafanyika katika ukumbi wa mikutano
wa Arusha (AICC) jijini Arusha.
Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bw.Philipo Mulugo,akiongea na
wadau wakuu wa vyuo vya ufundi,Serikali na wadau wengine wa elimu ya
ufundi,alipokuwa mgeni rasmi katika mkutano wa kwanza Kitaifa wa siku
tatu unafanyika katika ukumbi wa mikutano wa AICC jijini Arusha wenye
lengo la kujadili ubora wa mafunzo ya ufundi nchini.
Baadhi
ya washiriki katika mkutano wa kwanza Kitaifa wa wakuu wa vyuo vya
ufundi,Serikali na wadau wengine wa elimu ya ufundi,wakijadiliana jambo
baada ya Naibu Waziri Philipo Mulugo kuzindua rasmi mkutano huo wa
kwanza Kitaifa wa siku tatu unafanyika katika ukumbi wa mikutano wa
AICC jijini Arusha.
Washiriki
wakiwa wamesimama ikiwa ni ishara ya kumkaribisha ya Naibu Waziri,Bw.
Philipo Mulugo ambaye alikuwa mgeni rasmi kuzindua mkutano wa kwanza
Kitaifa wa wakuu wa vyuo vya ufundi,Serikali na wadau wengine wa elimu
ya ufundi utakaofanyika kwa siku tatu katika ukumbi wa mikutano wa AICC
jijini Arusha.
Baadhi
ya washiriki wanaoshiriki katika mkutano wa kwanza Kitaifa wa wakuu wa
vyuo vya ufundi,Serikali na wadau wengine wa elimu ya ufundi unaofanyika
kwa siku tatu katika ukumbi wa mikutano wa AICC jijini Arusha.
Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bw.Philipo
Mulugo(katikati)akimshuhudia Mwenyekiti wa kwanza wa Baraza la
Ufundi(NACTE)Prof.B.L.M.Mwamila,akiwaonesha waandishi wa habari(hawapo
pichani) cheti pamoja na Tuzo mara baada ya kukabidhiwa na Naibu
waziri,wakati wa mkutano wa kwanza Kitaifa wa wakuu wa vyuo vya
ufundi,Serikali na wadau wengine wa elimu ya ufundi kwa utendaji bora
kwa miaka mitatu mfululizo,Mkutano huo wa siku tatu unafanyika katika
ukumbi wa mikutano wa arusha (AICC) jijini Arusha.
Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bw.Philipo Mulugo(kulia)akifurahia
pamoja na Mwenyekiti wa kwanza wa Baraza la
Ufundi(NACTE)Prof.B.L.M.Mwamila na ,mara baada ya kumkabidhi cheti
pamoja na Tuzo ya heshima,wakati wa mkutano wa kwanza Kitaifa wa wakuu
wa vyuo vya ufundi,Serikali na wadau wengine wa elimu ya ufundi kwa
utendaji bora kwa miaka mitatu mfululizo,Mkutano huo wa siku tatu
unafanyika katika ukumbi wa mikutano wa arusha (AICC )jijini Arusha.
Naibu
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Bw.Philipo
Mulugo(katikati)akifurahia pamoja na Mwenyekiti wa kwanza wa Baraza la
Ufundi(NACTE)Prof.B.L.M.Mwamila na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la
Elimu ya Ufundi(NACTE)Dkt.Primus Nkwera(kulia)mara baada ya kumkabidhi
cheti pamoja na Tuzo,kwenye mkutano wa kwanza Kitaifa wa wakuu wa vyuo
vya ufundi,Serikali na wadau wengine wa elimu ya ufundi kwa utendaji
bora kwa miaka mitatu mfululizo,Mkutano huo wa siku tatu unafanyika
katika ukumbi wa mikutano wa Arusha( AICC) jijini Arusha.
0 comments:
Post a Comment