Welcome to our online store Portal

Template Information

Thursday, November 28, 2013

ZANZIBAR HEROES YAIFUNGA SUDANI NYAYO NATIONAL STADIUM NA KUONGOZA KUNDI


http://azizicompdoc.blogspot.com/
Zanzibar Heroes imeanza nzuri kampeni yake ya kugombea kombe la GOtv Cecafa Senior Challenge Cup baada ya kuifunga timu ngumu ya South Sudan 2-1 katika mchezo mgumu wa ufunguzi wa michuano hiyo katika uwanja wa Nyayo National Stadium.
Heroes walihitaji dakika 5 tu kupata bao la kuongoza kupitia  Suleiman Kasim.  
Zanzibar waliongeza bao lao la pili katika dakika ya 67 wakati mchezaji aliyeingia akitokea benchi Adeyum Saleh Ahmed alipofunga bao zuri kwa shuti kali lilomshinda golikipa Juma Jinaro.
Japo walikuwa nyuma kwa mabao mawili, Sudan waliweza kujikaza na kufunga bao la kufutia machozi katika dakika ya 75 kupitia mchezaji wao Fabiano Lako. Mpaka dakika 90 za mchezo zinamalizika Zanzibar waliweza kuondoka na ushindi ambao umeweza kuwafanya kuongoza kundi lao baada ya wenyeji Kenya kutoka sare ya bila kufungana na Ethiopia.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop