Welcome to our online store Portal

Template Information

Thursday, February 27, 2014

WARIOBA AWEKEWA KINGA YA KUTOHOJIWA

http://azizicompdoc.blogspot.com/

Kamati ya Kupitia Rasimu ya Kanuni za Bunge la Katiba imependekeza Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba asiulizwe maswali wakati wa kuwasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba.
Akiwasilisha mapendekezo hayo jana, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Profesa Costa Mahalu alisema wanataka Jaji Warioba afanye kazi moja ya kusoma Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya bungeni.
Profesa Mahalu alisema baada ya hapo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba watakuwa na kazi ya kujadili kwa kina Rasimu ya Katiba kabla ya kuipitisha au kuikataa.
Pendekezo kuhusu Jaji Warioba kusoma Rasimu bungeni imo katika Kanuni ya Pili ya kanuni ndogo ya (d) ya Rasimu ya Kanuni, ambayo inampa nafasi Jaji Warioba kuwasilisha kazi aliyoifanya na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Related Product :

0 comments:

Post a Comment

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop